Mvuke dhana moja yenye misingi miwili..

KENZY

JF-Expert Member
Dec 27, 2015
26,200
56,826
Steam_From_Cooking.jpg
 
Sijakuelewa
Kuna mvuke wamoto na mvuke wabaridi..
Yote ni mvuke lkn ktk dhana mbili tofauti!
Kunaweza kukawa na system mbili tofauti lkn matokeo yake ni moja..
Nafikiri umeshawahi kutumia fridge na kuchemsha maji..
Kuna maskini na tajiri lkn hawa wote ni binadamu..(dhana moja ktk misingi miwili). Nafikiri umeelewa sasa
 
It's a physical change from liquid to gas

Or solid to gas (sublimation)

Form one chemistry

Sent from my GT-N8000 using JamiiForums mobile app
 
It's a physical change from liquid to gas

Or solid to gas (sublimation)

Form one chemistry

Sent from my GT-N8000 using JamiiForums mobile app
unafikiri inaweza kuleta ujumbe gani ktk maisha..?
 
Bibi yangu zaman alikuwa akiumwa anajifunika na nguo nzito na maji aliyochemsha kwenye chungu then ule mvuke unamfikia uson. Sasa sikujua ni tiba gani ile mpaka leo
 
Kuna mvuke wamoto na mvuke wabaridi..
Yote ni mvuke lkn ktk dhana mbili tofauti!
Kunaweza kukawa na system mbili tofauti lkn matokeo yake ni moja..
Nafikiri umeshawahi kutumia fridge na kuchemsha maji..
Kuna maskini na tajiri lkn hawa wote ni binadamu..(dhana moja ktk misingi miwili). Nafikiri umeelewa sasa
Dhana ni nini na msingi ninini?
 
Dhana ni nini na msingi ninini?
kwa uelewa wangu neno DHANA ni neno linalotumika kuelezea kitu/jambo/wazo ama jambo/wazo/kitu cha kufikirika ila tu inategemea na kinachojadiliwa. au hata mda mwengine hutumika kuelezea kifaa mf.. humo stoo kuna dhana zangu za kulimia.

neno MSINGI ni neno linaloonyesha/kuelezeashikizo muhimu la kitu fulani au hutumika pia kuelezea chanzo cha kitu fulani.
 
Kuna mvuke wamoto na mvuke wabaridi..
Yote ni mvuke lkn ktk dhana mbili tofauti!
Kunaweza kukawa na system mbili tofauti lkn matokeo yake ni moja..
Nafikiri umeshawahi kutumia fridge na kuchemsha maji..
Kuna maskini na tajiri lkn hawa wote ni binadamu..(dhana moja ktk misingi miwili). Nafikiri umeelewa sasa
kumbe ndio hivyo
 
Bibi yangu zaman alikuwa akiumwa anajifunika na nguo nzito na maji aliyochemsha kwenye chungu then ule mvuke unamfikia uson. Sasa sikujua ni tiba gani ile mpaka leo
Mafua kifua au homa huondoka hata mtoto akiwa na mafua makali na kichwa kuumwa ukachemsha maji na kuelekeza mvuke kwake anapata nafuu

Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom