Simiyu Yetu JF-Expert Member Joined Apr 29, 2013 Posts 18,949 Reaction score 4,643 Jan 21, 2016 #21 Nashauri mbunge wa kinondoni aende mahakamani kupinga ujio wa mvua hii.
K kitimoto naugali Member Joined Nov 5, 2015 Posts 88 Reaction score 33 Jan 21, 2016 #22 relis said: Dawa chochote kitakachowakuta serikali ikae kimya maana vichwa vyao ni vigumu vichwa vyao hawana totauti na nyumbu Wa ukawa Click to expand... Subiri waje kwa makundi ha haaa
relis said: Dawa chochote kitakachowakuta serikali ikae kimya maana vichwa vyao ni vigumu vichwa vyao hawana totauti na nyumbu Wa ukawa Click to expand... Subiri waje kwa makundi ha haaa
NAGAMAHONGA JF-Expert Member Joined Dec 11, 2012 Posts 12,322 Reaction score 10,898 Jan 21, 2016 #23 RRONDO said: Picha sio ya tukio la mvua za wiki hii....... Click to expand... hivi dar ni mji au bakuli,maana hili si eneo kubwa sana.
RRONDO said: Picha sio ya tukio la mvua za wiki hii....... Click to expand... hivi dar ni mji au bakuli,maana hili si eneo kubwa sana.
JAMII-ASM JF-Expert Member Joined Jul 30, 2015 Posts 1,305 Reaction score 524 Jan 21, 2016 #24 Mahakamani hatuendi..tutazuia kwa mikono..
B BOWTHRUSTER JF-Expert Member Joined Aug 1, 2014 Posts 397 Reaction score 175 Jan 21, 2016 #25 Kuna wengine wanapinga kuondolewa wanasema wapo kitambo tangu 1985.Miaka hiyo Dar si ilikuwa bado haijachangamka?hivi kulikuwa na umuhimu wa kujenga mabondeni miaka hiyo kwa mji kama Dar?siyo wavamizi wa mabonde hao?
Kuna wengine wanapinga kuondolewa wanasema wapo kitambo tangu 1985.Miaka hiyo Dar si ilikuwa bado haijachangamka?hivi kulikuwa na umuhimu wa kujenga mabondeni miaka hiyo kwa mji kama Dar?siyo wavamizi wa mabonde hao?
rubii JF-Expert Member Joined Feb 22, 2015 Posts 14,106 Reaction score 18,715 Jan 21, 2016 #26 Mkaruka said: Tutaenda Mahakamani Kuzuia Mvua Msijali,pipoooz Click to expand... ha ha ha aa mikono juuu
Mkaruka said: Tutaenda Mahakamani Kuzuia Mvua Msijali,pipoooz Click to expand... ha ha ha aa mikono juuu