Mvua yasababisha maafa Dar

Mvua yasababisha maafa Dar

Nashauri mbunge wa kinondoni aende mahakamani kupinga ujio wa mvua hii.
 
12573820_1010022375743689_807078294649668398_n.jpg


Picha sio ya tukio la mvua za wiki hii.......
hivi dar ni mji au bakuli,maana hili si eneo kubwa sana.
 
Kuna wengine wanapinga kuondolewa wanasema wapo kitambo tangu 1985.Miaka hiyo Dar si ilikuwa bado haijachangamka?hivi kulikuwa na umuhimu wa kujenga mabondeni miaka hiyo kwa mji kama Dar?siyo wavamizi wa mabonde hao?
 
Back
Top Bottom