Dawa ya kuleta nafuu ni tangawizi +ndimu + asali, kwangua tangawizi mbichi weka ndimu au limao alafu tia na asali kamua utapata maji maji flan hiv kunywa kijiko asubuh mchan jioni
Natabiri mambo makubwa sana kutokea maeneo hii mvua itapitia. Huu ni mguu wa malaika akipita kuwaambia kuwa jiwekeni tiyari kwani yu aja. Je, umetubia uoavu wako?? Tubu leo hii
Badala ya mvua kuonekana ya ajabu wewe mleta mada ndio unaonekana wa ajabu sasa hapo maji meusi kama mkaa yako wapi?,hivi unaujua weusi wewe?,kama huujui weusi mtazame yule bodyguard wa jiwe anayesimamaga pamoja na yule mwanajeshi nyuma ya jiwe
Huku kwetu iliwahi kunyesha yapata miaka 4 hivi iliyopita. Mimi nadhani hii inasababishwa na moshi unaotokana na sababu mbalimbali kama vile viwanda, mabomu na kuungua kwa misitu sehemu mbalimbali Duniani. Hivyo, huo moshi unapaa hewani na kugandamana na mawingu, na hivyo mawingu yanapoyeyuka na kuwa mvua maji yanakuwa meusi.
Ahsante.
Mvua hiyo imetokea sana tu... tena nakumbuka kuna kipindi nikiwa mdogo tuliwahi kupitishiwa la mgambo kabisa kuwa tusinywe maji ya mvua ya jana yake ni hatari kwa afya lakini watu tumeyanywa sana tu na hakuna lolote baya; (sijui kwa hayo maeneo uliyosema ni mara ya kwanza kama una uhakika)
Dawa ya kuleta nafuu ni tangawizi +ndimu + asali, kwangua tangawizi mbichi weka ndimu au limao alafu tia na asali kamua utapata maji maji flan hiv kunywa kijiko asubuh mchan jioni