Hapa mwanza, baada ya mvua ya kawaida iliyonyesha jana mchana, usiku huu saa moja unusu Tanesco wamekata umeme, kuna giza sana maana wingu jeusi limefunga anga kuna dalili ya mvua kubwa kunyesha, na muda si mrefu imepiga radi moja kali sana hadi kufanya baadhi ya watu kuweweseka, ngoja nizime kasim kangu maana tunaambiwa simu kwa radi ni hatari.