LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,216
Mvua kubwa iliyoendelea kunyesha Kanda ya Kaskazini tangu juzi tar 20/04/2012 iliyokua ikianza kwa kusuasua na hata kukatisha tamaa kwa wafugaji na wakulima,Sasa imeanza tangu jana kwa kasi ya ajabu hasa jana jioni ikinyesha Wilayani Monduli na hata W/Arumeru Magharibi bila shaka Wanainchi walioko mabondeni hawatakuwa na makazi!
Na hata hivyo mpk hapa nikiendelea kuchat hapa jamvini,hakika mvua ya uhakika inanyesha hapa A town haswa!
Mvua ilianza kwa kusuasua vile tangu majira ya saa kumi na mbili jana jioni na ilipotimia majira ya saa sita usiku na kuendelea mvua isiyo na mawimbi wala ngurumo inanyesha takrban masaa mawili sasa!
Na nilipojaribu kurudisha kumbukumbu nyuma,ndipo nikakumbuka hata ule mwaka wa ELNINO mwaka 1998 ilianza kwa mfano huu huu, Nawashauri ndg zangu walioko mabondeni tuwe macho kwani hali ya hewa mwaka huu bila shaka ina ishara ya mwaka tajwa hapo juu!
Bado cjapata taarifa rasmi toka ktk Wilaya hizo mbili nilizozishudia mvua ile ya jana jioni ilyofanya majira ya alasiri kuwa kama saa moja jioni kama itakuwa imeleta madhara yoyote!
Ila ntafuatilia na ntarudi baada ya!
MUNGU BARIKI TANZANIA NA WATU WAKE!
MUNGU IBARIKI AFRIKA NA WATU WAKE!
Source ni Mi mwenyewe!
Na hata hivyo mpk hapa nikiendelea kuchat hapa jamvini,hakika mvua ya uhakika inanyesha hapa A town haswa!
Mvua ilianza kwa kusuasua vile tangu majira ya saa kumi na mbili jana jioni na ilipotimia majira ya saa sita usiku na kuendelea mvua isiyo na mawimbi wala ngurumo inanyesha takrban masaa mawili sasa!
Na nilipojaribu kurudisha kumbukumbu nyuma,ndipo nikakumbuka hata ule mwaka wa ELNINO mwaka 1998 ilianza kwa mfano huu huu, Nawashauri ndg zangu walioko mabondeni tuwe macho kwani hali ya hewa mwaka huu bila shaka ina ishara ya mwaka tajwa hapo juu!
Bado cjapata taarifa rasmi toka ktk Wilaya hizo mbili nilizozishudia mvua ile ya jana jioni ilyofanya majira ya alasiri kuwa kama saa moja jioni kama itakuwa imeleta madhara yoyote!
Ila ntafuatilia na ntarudi baada ya!
MUNGU BARIKI TANZANIA NA WATU WAKE!
MUNGU IBARIKI AFRIKA NA WATU WAKE!
Source ni Mi mwenyewe!