Mvua kubwa Mtwara

Mvua kubwa Mtwara

hmtk

Senior Member
Joined
May 24, 2013
Posts
157
Reaction score
56
Tangu usiku hadi mchana huu hapa Mtwara kunanyesha mvua kubwa sana ambayo kwa watu waishio kwenye maeneo hatarishi kama mabondeni, kwenye maporomoko, mikondo ya maji na hata nyumba mbovu huenda wakapata madhara makubwa sana.
Naomba tutumie jukwaa hili kujulishana kinachoendelea kwenye eneo lens.
 
Inanyesha mji mzima wa Mtwara. Sina taarifa za maeneo mengine huko wilayani na mkoa jirani wa Lindi.

Mvua ni kubwa hasa na tangu asubuhi jua halijaonekana. Nadhani utabiri wa juzi wa TMA kwa Mtwara umekuwa sahihi kwa asilimia kubwa.

Mungu atatuepusha na yenye kudhuru.

Sasa inanyesha maeneo gani? Mikindani, Chikongola Ligula, au Mtwara mzima
 
Basi mafuriko yataanza hapo maduka makubwa, kiangu pia wakae tayari
 
Chuno, Kianga , shangani, yote imejaa maji mvua ni kubwa saana yaani tangu saa saba usiku mpaka sasa saa nane mchana ni mvua tuu ,baharini kote ni mvua tu sehemu za miseti ni hatari mnoo ,maji ktk baadhi ya maeneo kama mbezi, magomeni yameanza kuingia majumbani
 
Ata Rock çity inanyesha xaiv....npo st augustine kweny mahafari mvua inànyexha ila tunaendelea tu
 
Chuno, Kianga , shangani, yote imejaa maji mvua ni kubwa saana yaani tangu saa saba usiku mpaka sasa saa nane mchana ni mvua tuu ,baharini kote ni mvua tu sehemu za miseti ni hatari mnoo ,maji ktk baadhi ya maeneo kama mbezi, magomeni yameanza kuingia majumbani
Engineer Sambwe Sijabaje kapona kweli Huko kwake Chuno?
 
Nimezaliwa Mtwara, chikongola hapo karibu na Sabasaba,
Zamani palijulikana kwa Hasmasa shop
Poleni ndugu zangu wa Mtwara
Mvua ikizidi inaleta madhara mkubwa.
Tumuombe Mola mvua hiyo isilete tabu na njaa huko
 
0c57b1919b35947fdbdb3c674ef96fff.jpg



Lindi nako inapiga sana
 
Back
Top Bottom