Mvua inanyesha muda huu maeneo ya Mbezi Beach. Ahsante Mungu kwani joto lilizdi mno

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,207
4,703
Wadau hatimaye Mungu amesikia kilio chetu wakazi wa Mbezi Beach na Jimbo la Kawe kwa ujumla

Joto lilizidi kuwa kero kubwa mno! Muda huu mvua imeanza kunyesha kuanzia saa 5:12 asubuhi

Shukrani kwa maombi ya wote

Shukrani kwa maombi ya Mbunge wetu Askofu Gwajima

Tunafurahia mvua na wala hatuogopi mafuriko kwa uimara wa miundo mbinu

Aksante Mungu
 
Wadau hatimaye Mungu amesikia kilio chetu wakazi wa Mbezi Beach na Jimbo la Kawe kwa ujumla

Joto lilizidi kuwa kero kubwa mno! Muda huu mvua imeanza kunyesha kuanzia saa 5:12 asubuhi

Shukrani kwa maombi ya wote

Shukrani kwa maombi ya Mbunge wetu Askofu Gwajima

Tunafurahia mvua na wala hatuogopi mafuriko kwa uimara wa miundo mbinu

Aksante Mungu
Mvua haijanyesha kwa sababu ya Maombi yenu ya Uwongo na Kweli yenye Unafiki kwa Dar Mvua Kunyesha Kuelekea Krismasi ni Kawaida sana tu.
 
Wadau hatimaye Mungu amesikia kilio chetu wakazi wa Mbezi Beach na Jimbo la Kawe kwa ujumla

Joto lilizidi kuwa kero kubwa mno! Muda huu mvua imeanza kunyesha kuanzia saa 5:12 asubuhi

Shukrani kwa maombi ya wote

Shukrani kwa maombi ya Mbunge wetu Askofu Gwajima

Tunafurahia mvua na wala hatuogopi mafuriko kwa uimara wa miundo mbinu

Aksante Mungu
Amina!
 
Wadau hatimaye Mungu amesikia kilio chetu wakazi wa Mbezi Beach na Jimbo la Kawe kwa ujumla

Joto lilizidi kuwa kero kubwa mno! Muda huu mvua imeanza kunyesha kuanzia saa 5:12 asubuhi

Shukrani kwa maombi ya wote

Shukrani kwa maombi ya Mbunge wetu Askofu Gwajima

Tunafurahia mvua na wala hatuogopi mafuriko kwa uimara wa miundo mbinu

Aksante Mungu
mbona hapa jogoo hainyeshi au wewe upo mbezi ipi
 
Nipo posta Kuna mawingu kimtindo nausoma huu uzi wako kwa hasira kidogo, maana sijui Kama nitapita jangwan wakati wa kurudi Kama mvua itaendelea kunyesha
Wakati nakuja Maji pale yalikuwa ya ugoko , ikinyesha kidogo tu wanafunga na njia yenyewe

M5T
 
Wadau hatimaye Mungu amesikia kilio chetu wakazi wa Mbezi Beach na Jimbo la Kawe kwa ujumla

Joto lilizidi kuwa kero kubwa mno! Muda huu mvua imeanza kunyesha kuanzia saa 5:12 asubuhi

Shukrani kwa maombi ya wote

Shukrani kwa maombi ya Mbunge wetu Askofu Gwajima

Tunafurahia mvua na wala hatuogopi mafuriko kwa uimara wa miundo mbinu

Aksante Mungu
Mvua inapunguza joto?
 
Back
Top Bottom