Pdidy
Platinum Member
- Nov 22, 2007
- 61,659
- 37,828
AISEE NIMEAMINI MUNGU ANASIKIa BANA
UNAJUA ASBH NILIPITA DARAJANI KAWE..Njia ya lugalo kwenda tegeta wamemwagika kama wako shule ndugu zetu
nikarudi kulala kidogo nikamwomba Mungu embu shusha mvua hata nisiwaone kabisa nianze mizunguko namii
navyoongea naandika huku vyoo vikilamba maji kwa mbaaliiii...ukihisi wanakusumbua hawa traffic we waombee mvua awaki hatasikumoja hatakama awajakusanya salio lao wataanza tu
UNAJUA ASBH NILIPITA DARAJANI KAWE..Njia ya lugalo kwenda tegeta wamemwagika kama wako shule ndugu zetu
nikarudi kulala kidogo nikamwomba Mungu embu shusha mvua hata nisiwaone kabisa nianze mizunguko namii
navyoongea naandika huku vyoo vikilamba maji kwa mbaaliiii...ukihisi wanakusumbua hawa traffic we waombee mvua awaki hatasikumoja hatakama awajakusanya salio lao wataanza tu