KAUDO
Senior Member
- Aug 10, 2011
- 138
- 67
Nimehojiana na baadhi ya abiria waliopona katika ajali ya Mv Bukoba na hata wale wa 'Spice Mlenda' iliyozama majuzi kule Zanzibar.
Nani anakumbuka tarehe,mwezi na mwaka wa ajali mbaya ya basi la SafariLeo iliyoua makumi ya abiria wakiwemo maharusi katika eneo la Amujuju nje ya Bk.Naomba hata majina ya manusura na mawasiliano yao kwa anayeweza.
Nani anakumbuka tarehe,mwezi na mwaka wa ajali mbaya ya basi la SafariLeo iliyoua makumi ya abiria wakiwemo maharusi katika eneo la Amujuju nje ya Bk.Naomba hata majina ya manusura na mawasiliano yao kwa anayeweza.