Upelelezi ...unalenga kujua zaidi kuhusu (utumbuzi) au mtu na matendo yake Ili kupata ushahidi.
Kama unajua muvi zinazolenga upelelezi naomba kunitajia kwenye comment.nina mda kama miezi miwili hivi za kukaa tu ndani ,napenga kutumia huo kuzicheki.
Asanteni kama mtanisaidia majina na Mungu awabariki