Muvi za Bongo

zeus

JF-Expert Member
Aug 13, 2009
213
55
kwanza niwapongeze wasanii wetu wa filamu kwa juhudi zao za kuendelea tasnia ya filamu katika bongo yetu.wanajitahidi kwa kweli. lakini kuna kitu kinachoniboa katika muvi zetu hizi, na ni ishu ambayo ni common kuanzia filamu hadi maigizo...utakuta tukio scene moja inachukua muda mrefu mpaka inaboa..kwa mfano kama muigizaji anaonyeshwa kuwa anawaza , amechanganyikiwa,anasoma, anaota, anacheka,au analala, n.k........basi utaonyeshwa tukio lile kama dakika humi hivi.....its boring. yani muvi sio fast moving kutoka tukio moja hadi jingine sijui ni kukosa ubunifu au vipi.

wadau naomba kutoa hoja.
 
Sure thing, wanavuta muda ili filamu iishe ,then wanakuambia "WATCH OUT PART TWO" ili waingize tena pesa, Wizi mtupu!
Halafu waigizaji ni wale wale kila muvi, wanachosha kuangalia.
Then sidhani kama Watanzania wanahitaji kuona nyumba mpya nzuri nzuri na maghari ya kifahari( vyote vya kuazima),wabadilike, watu wanahitaji kuona muvi zinazomshika mtu hadi anajisahau kwamba anaangalia true action/story kumbe ni muvi. Wabadilike.
Hebu check muvi kama 24hrs au Prison Break, they are so exciting muvi.
 
Umeona tamasha la filamu la zanzibar lililoisha last week, waigizaji, madirector na watunzi wetu wote wametoka kapa, tumewaambia kila siku weather you are the great Camroon au the greatest Sylverster stallone kuunda movie ni mkusanyiko wa vipaji. Shida inakuja movie zetu unakuta aliyeandika mchezo ni huyo huyo, anakuja kuwa screen writer yeye mwenyewe, alafu ana act yeye mwenyewe, na director yeye mwenyewe, wapi na wapi bwana, Hakuna hata mtu aliye edit wala kuona kazi yako kabla haijaingia dukani. Mbona hata shule assignment zetu huwa tunaomba watu watusomee wahakiki kama nilichotaka kumaanisha ndicho wanachokiona, na kama kazi ni interresting??

Shida ni kuwa wasomi wamekimbia kwenye hii sector, naamini siku wasomi watakapoingia kwenye hii sector kama wenzetu wa Afrika kusini walivyofanya kutakuw ana mapinduzi makubwa katika tasnia ya filamu nchini. Bahati mbaya sana Bongowood wanawaiga sana waNigeria, lakini nadhani Ningeria sio mfano mzuri wa movie ingawa ni kweli wanauza Tanzania na afrika, Lakini wameshindwa kukamata soko kwenye maduka ya ulaya na Amerika, Ukitaka kuiga nadhani watanzania wabadirishe macho yao, waelekeze South Africa, Hawa jamaa wameattract waigizaji mpaka wakubw akama Washngton Denzel, Whoop Goldberg (sp), Morgan Freeman, na wengine wengi,.

Nimeandika mara Nyingi kuwa uchoyo wao akina kanumba watabaki kuwa the great wa hapa hapa, wawahusishe watu wengine.
 
Alafu nikirudi kwenye subject wanayoigiza ni Mapenzi, mapenzi, mapenzi, wenzetu wanaenda na wakati, wanaigiza issue zilizopo kwenye chat (vita vya Iraq, Hurt Locker, etc) na Mimi ningetegemea Movie za Dawa za kupambana na UKIMWI na maisha ya watu, Ningetegemea movie itoke pale UDSM au UDOM inayoongelea suala la mikopo, Ningeona Movie ya Paul Boman, Paul Rupia, Kawawa wakati wa kudai Uhuru, Ningeona Movie ya Mtwa Mkwawa, Ningeona Movie ya albino, ningeona movie ya wachuna Ngozi kula Mbeya, wauaji wa wazee ukanda wa ziwa. Sijui labda wenzangu mumeshaziona, Mimi nilishakata tamaa na tasnia ya Filamu nchini.
 
Umeona tamasha la filamu la zanzibar lililoisha last week, waigizaji, madirector na watunzi wetu wote wametoka kapa, tumewaambia kila siku weather you are the great Camroon au the greatest Sylverster stallone kuunda movie ni mkusanyiko wa vipaji. Shida inakuja movie zetu unakuta aliyeandika mchezo ni huyo huyo, anakuja kuwa screen writer yeye mwenyewe, alafu ana act yeye mwenyewe, na director yeye mwenyewe, wapi na wapi bwana, Hakuna hata mtu aliye edit wala kuona kazi yako kabla haijaingia dukani. Mbona hata shule assignment zetu huwa tunaomba watu watusomee wahakiki kama nilichotaka kumaanisha ndicho wanachokiona, na kama kazi ni interresting??

Shida ni kuwa wasomi wamekimbia kwenye hii sector, naamini siku wasomi watakapoingia kwenye hii sector kama wenzetu wa Afrika kusini walivyofanya kutakuw ana mapinduzi makubwa katika tasnia ya filamu nchini. Bahati mbaya sana Bongowood wanawaiga sana waNigeria, lakini nadhani Ningeria sio mfano mzuri wa movie ingawa ni kweli wanauza Tanzania na afrika, Lakini wameshindwa kukamata soko kwenye maduka ya ulaya na Amerika, Ukitaka kuiga nadhani watanzania wabadirishe macho yao, waelekeze South Africa, Hawa jamaa wameattract waigizaji mpaka wakubw akama Washngton Denzel, Whoop Goldberg (sp), Morgan Freeman, na wengine wengi,.

Nimeandika mara Nyingi kuwa uchoyo wao akina kanumba watabaki kuwa the great wa hapa hapa, wawahusishe watu wengine.
Hlafu mie sidhani kama kweli wanaandika screenplay(script) ukiangalia sana unakuta vitu vinarudiwa in different meaning mfano unakuta kalizwa miaka au anapoishi in one min akiulizwa mwingine jibu linakuwa tofauti wakati mlengwa wa lile swali ni yule yule,what is that jamani?nimeangalia september 11 jamani kaulizwa Kinyaiya huyu msebule wako ana umri gani akasema 24 one min ago aliulizwa bibie akasema 25 sasa hapo kweli kiliandikwa ki script kaka?je wanaoangalia tutaifanyaje watu waone ni kweli?,pia sijaona plot twist yoyote au utaona only one conflict na from the beggining utajua tu kitakachotokea...sio ubunifu kwa kweli bongo...usijali niko mbioni kuwakamata namalizia shule ya screen writting for two years then my first movie itakuwa about mv victoria,my series called Gambosi itachukua three years ina kama season 4 hivi...hope nitapata support..
 
kwanza niwapongeze wasanii wetu wa filamu kwa juhudi zao za kuendelea tasnia ya filamu katika bongo yetu.wanajitahidi kwa kweli. lakini kuna kitu kinachoniboa katika muvi zetu hizi, na ni ishu ambayo ni common kuanzia filamu hadi maigizo...utakuta tukio scene moja inachukua muda mrefu mpaka inaboa..kwa mfano kama muigizaji anaonyeshwa kuwa anawaza , amechanganyikiwa,anasoma, anaota, anacheka,au analala, n.k........basi utaonyeshwa tukio lile kama dakika humi hivi.....its boring. yani muvi sio fast moving kutoka tukio moja hadi jingine sijui ni kukosa ubunifu au vipi.

wadau naomba kutoa hoja.

low education mzee ndo inasumbua hao jamaa,tutakuwa pamoja soon in mv victoria movie mazee,sihitaji waigizaji waliozoeleka mie kama kanumba,we need training before casting,my series soon itakamata tu,Gambosi the Great African City,(GA) na mengine kibao tu ina season 4 hivi au 6 itategenea na misaada ya writters wengine,niko nafanya thessis ya screen writting...pamoja
 
Alafu nikirudi kwenye subject wanayoigiza ni Mapenzi, mapenzi, mapenzi, wenzetu wanaenda na wakati, wanaigiza issue zilizopo kwenye chat (vita vya Iraq, Hurt Locker, etc) na Mimi ningetegemea Movie za Dawa za kupambana na UKIMWI na maisha ya watu, Ningetegemea movie itoke pale UDSM au UDOM inayoongelea suala la mikopo, Ningeona Movie ya Paul Boman, Paul Rupia, Kawawa wakati wa kudai Uhuru, Ningeona Movie ya Mtwa Mkwawa, Ningeona Movie ya albino, ningeona movie ya wachuna Ngozi kula Mbeya, wauaji wa wazee ukanda wa ziwa. Sijui labda wenzangu mumeshaziona, Mimi nilishakata tamaa na tasnia ya Filamu nchini.


Mapenzi scripts ni rahisi sana kuandika lkn hata hivyo hawa jamaa hawana ubunifi,www cheki one years more than 300 movies jamani inamaana kila siku wanaandika movie nzima?at least one year 4 movies tena hapo umeenda hi kinoma,soon tutaivamia hii fan maana inalipa,Wanigeria pia hawana movie ya maana maana think nimeangalia karibia zote lkn mmmmmmmmhhh no comment zaidi ya uchawi mapenzi mapenzi tu,one year 400 movies...
 
low education mzee ndo inasumbua hao jamaa,tutakuwa pamoja soon in mv victoria movie mazee,sihitaji waigizaji waliozoeleka mie kama kanumba,we need training before casting,my series soon itakamata tu,Gambosi the Great African City,(GA) na mengine kibao tu ina season 4 hivi au 6 itategenea na misaada ya writters wengine,niko nafanya thessis ya screen writting...pamoja



Gambosi, The Great African City..............sounds real. naomba kuwepo kwenye casting crew!!!
 
Mapenzi scripts ni rahisi sana kuandika lkn hata hivyo hawa jamaa hawana ubunifi,www cheki one years more than 300 movies jamani inamaana kila siku wanaandika movie nzima?at least one year 4 movies tena hapo umeenda hi kinoma,soon tutaivamia hii fan maana inalipa,Wanigeria pia hawana movie ya maana maana think nimeangalia karibia zote lkn mmmmmmmmhhh no comment zaidi ya uchawi mapenzi mapenzi tu,one year 400 movies...



yaani mapenzi mapenzi tu......utsikia
1. True Love
2. Perfect Love
3. From Hevaen with Love
4. Love story
5. With love From Nollywood
6. Hero of Love
7. fire Love
8. Love Boat
...etc Love

wasanii walewale.......theme zile zile,....................crap crap..*:(&
 
Back
Top Bottom