RayB
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 2,751
- 196
Nadhani siku hiszi vijana wetu wanajitahidisana katika tasnia ya filamu tena wanakuwa very creative lakini wasiwasi wangu kwa filamu inayokuja kutoka kwa Vicent Kigosi aka Ray haitaspark upya watu wa upande huu wa dini manake nakumbuka sakata la filamu ya TALAKA TATU.