fungi6
JF-Expert Member
- Nov 24, 2017
- 287
- 267
Abari za siku wote?
Karibuni wote wenye kufanya biashara/kazi, ambazo azina mchango kwenye maisha yetu.
Mimi nikianza kabla ya yote nimekua architect engineer kwa mwaka wa pili sasa kwenye kampuni flani ila mpaka sasa bado naishi nyumba zakupanga
Ninakomaa ila pia nikaja kutana na rafiki yangu sana ambae amekua akiniuzia samaki na mafuta ya samaki kwa garama nafuu,,,, cha kustaajabisha nikua yeye anayo allergy na samaki hali kabisa samaki bora alale njaa🤔,,,,
Niliwai muuliza kwa nini hauli samaki akunijibu direct ila yeye pia akazidi niongezea mshangao kua, anaye rafiki yakewalisoma nae zamani kua,
Rafiki yake kasoma umeme veta ila anaishi nyumba isiyo na umeme mpaka sasa 🤔
Sasa kwa mpaka sasa nimekuja jua kumbe kuna watu hawa
-watu wanaofanya kazi ambao awajazifanyia kazi kwao
Mfn,,, accountant asiye na account ya benk!!
Karibu tushare kazi ambayo umefanha au uliwai kuifanya ambayo haikuwai kua na mchango maishani kwako,, ambayo umeifanya kwa manufaa ya wengine........
Eid-ul-Fitr
Karibuni wote wenye kufanya biashara/kazi, ambazo azina mchango kwenye maisha yetu.
Mimi nikianza kabla ya yote nimekua architect engineer kwa mwaka wa pili sasa kwenye kampuni flani ila mpaka sasa bado naishi nyumba zakupanga
Ninakomaa ila pia nikaja kutana na rafiki yangu sana ambae amekua akiniuzia samaki na mafuta ya samaki kwa garama nafuu,,,, cha kustaajabisha nikua yeye anayo allergy na samaki hali kabisa samaki bora alale njaa🤔,,,,
Niliwai muuliza kwa nini hauli samaki akunijibu direct ila yeye pia akazidi niongezea mshangao kua, anaye rafiki yakewalisoma nae zamani kua,
Rafiki yake kasoma umeme veta ila anaishi nyumba isiyo na umeme mpaka sasa 🤔
Sasa kwa mpaka sasa nimekuja jua kumbe kuna watu hawa
-watu wanaofanya kazi ambao awajazifanyia kazi kwao
Mfn,,, accountant asiye na account ya benk!!
Karibu tushare kazi ambayo umefanha au uliwai kuifanya ambayo haikuwai kua na mchango maishani kwako,, ambayo umeifanya kwa manufaa ya wengine........
Eid-ul-Fitr
,,,,