Poriposha
JF-Expert Member
- Oct 23, 2011
- 303
- 68
Sherehe za tarehe 9 december 2011 ilikuwa miaka 50 ya UHURU wa TANGANYIKA au TANZANIA? maana TANGANYIKA ndio ilipata uhuru wake 1961 na TANZANIA ni muungano uliofanyika mwaka 1964 ambayo ni miaka 47. Sasa najiuliza Muungano upo kweli jamaani?????????