Mchaga 25
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 464
- 114
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, lilelilo tabiriwa kuwa mke mwema mtu hupewa na BWANA na si vinginevyo, sasa wazanzibar wamegundua hawahitaji tena ndoa hiyo bali kujitegemea na kuolewa OIC kuendelea kula raha zao.
Zanzibar tutawakumbuka sana katika kutuletea mabadiliko bara, DUA za MWL nyerere zimefika, asanteni sana na CCM marufuku kutumia jina la TANU au TAA.
jiiteni labda CCJ
Hivi punde:
Maandamano polisi wakataa kibali tegemea kesho kichapo zanzibar
Zanzibar tutawakumbuka sana katika kutuletea mabadiliko bara, DUA za MWL nyerere zimefika, asanteni sana na CCM marufuku kutumia jina la TANU au TAA.
jiiteni labda CCJ
Hivi punde:
Maandamano polisi wakataa kibali tegemea kesho kichapo zanzibar