kwamwewe
JF-Expert Member
- Jul 15, 2010
- 1,908
- 608
Ndiyo mkaitafute huko mlikoitupa , wakati ndio huu😝😝Lakini Tanganyika haina Katiba yake,Haina Bendera ya Taifa lake na Jina Tanganyika halitambulikani na mtu yeyote.
Ndiyo mkaitafute huko mlikoitupa , wakati ndio huu😝😝Lakini Tanganyika haina Katiba yake,Haina Bendera ya Taifa lake na Jina Tanganyika halitambulikani na mtu yeyote.
Rais wa Zanzibar ni mvamizi aliyewekwa na Magufuli kawaleta wavamizi wenzake kutoka Tanganyika na kuwaweka kwenye mawizara na idara Za serikaliTanganyika imevaa koti la Muungano!. Tangu lini Muungano wa nchi 2 zilizokuwa huru ziliungana halafu zikaendelea kuwa nchi mbili zenye wakuu wa nchi wa wawili?. Tanganyika ipo na itaendelea kuwepo ikiwa imevaa koti la Muungano.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi amemteua ............. kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji Zanzibar.
Labda makalioni kwake 😛😛😛😛Akili atoe wapi!!!?