Great thinkers Salaam!
Nimekuwa nikifuatilia Bunge Maalum la katiba ila nimechoshwa na Malumbano ya mfumo wa Serikali Mbili au Tatu etc.Baada ya kufuatilia hoja ya Pande mbili hizi nnachokiona ni kwamba tulikuwa na kama kulikuwa na serikali tatu ila hazikuwa wazi.walio badili katiba baadae ndo walituletea shida hizi.Wakati muundo wa muungano unaundwa kulikuwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano ambaye alishughulika na Mambo ya Tanzania Nzima,Tulikuwa na Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais ambaye alishughulika na Mambo ya Tz Bara yasiyo ya Muungano then Rais wa Zanzibar na Makamu wa Pili wa Rais ambaye alishughulika na Mambo ya Zanzibar yasiyo ya Muungano.Sasa Je hizi zilikuwa serikali Mbili au Tatu?Nakosa jibu.Na Je nini kilipelekea kuvuruga Mfumo huo?Je Malumbano ya serikali Mbili au tatu ya nini?
Nimekuwa nikifuatilia Bunge Maalum la katiba ila nimechoshwa na Malumbano ya mfumo wa Serikali Mbili au Tatu etc.Baada ya kufuatilia hoja ya Pande mbili hizi nnachokiona ni kwamba tulikuwa na kama kulikuwa na serikali tatu ila hazikuwa wazi.walio badili katiba baadae ndo walituletea shida hizi.Wakati muundo wa muungano unaundwa kulikuwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano ambaye alishughulika na Mambo ya Tanzania Nzima,Tulikuwa na Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais ambaye alishughulika na Mambo ya Tz Bara yasiyo ya Muungano then Rais wa Zanzibar na Makamu wa Pili wa Rais ambaye alishughulika na Mambo ya Zanzibar yasiyo ya Muungano.Sasa Je hizi zilikuwa serikali Mbili au Tatu?Nakosa jibu.Na Je nini kilipelekea kuvuruga Mfumo huo?Je Malumbano ya serikali Mbili au tatu ya nini?