alsaidy
JF-Expert Member
- Feb 23, 2009
- 334
- 88
Kuna msikiti ulijengwa Nepal,Sheikh wa mskikiti aliomba serikali itoe Crane la
kubeba kilele cha msikiti na akakataliwa, Budhist mmoja kwa ufedhuli, au kwa
imani, alimwambia "kwa nini nyie hamumuombi Allah wenu akuwekeeni pale
juu"?
Usiku Sheikh akaomba na akamuota Mtume (saw) akamwambia aufunike huo
mnara kwa kitambaa cheupe, asubuhi yake yaliyotokea kama ilivyooneshwa katika video. Allahu Akbar.
http://www.youtube.com/watch?v=QofdXHUVnvY&feature=player_embedded
kubeba kilele cha msikiti na akakataliwa, Budhist mmoja kwa ufedhuli, au kwa
imani, alimwambia "kwa nini nyie hamumuombi Allah wenu akuwekeeni pale
juu"?
Usiku Sheikh akaomba na akamuota Mtume (saw) akamwambia aufunike huo
mnara kwa kitambaa cheupe, asubuhi yake yaliyotokea kama ilivyooneshwa katika video. Allahu Akbar.
http://www.youtube.com/watch?v=QofdXHUVnvY&feature=player_embedded