canular
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 858
- 813
Jamani wana jf mm nina ndugu yangu/mjomba wangu anaumri wa miaka 27 amehitimu mwaka jana amehitimu uuguzi na ukunga ngazi ya cheti.Hivo basi anatafuta ajira katika secta hiyo kwa sasa amekuja dar kutafta kazi hiyo nawaombeni mtakao guswa ama ambao mtaweza kumsaidia mumsaidie jamani na huo ndio ufaulu wake hapo chini kwa mawasiliano yake kwa yule atae hitaji kumsaidia ni 0757150600 au ni pm kwa niaba yake yeye hajajiunga jf na pia yupo tayari kufanya kazi sehem yoyote ile ila akipewa na hifadhi ya kukaa au kuishi naomba mumsaidie jamani yupo tayari hata kuuza kwenye duka la dawa pia asanteni