Namtakia kila la Kheri Kamanda Mtungireh ... Zama zake sisi wengine tulikuwa bado O level pale Ilboru, Namkumbuka sana Advocate Kamara alivyokuwa anatusimulia manjonjo ya huyo kamanda... Well, zama zile bado System ilikuwa ya mfumo wa chama kimoja Zaidi, haki za binaadamu zilikuwa hazilindwi sana ... bado hajachelewa, ananafasi ya kuweka tofauti kwa jamii yake ya kitanzania ....