Mutual termination of contract

kimwelage

Member
Oct 13, 2012
55
20
Nimeajairiwa na sekta binafsi,mwaajiri anataka tuvunje contract by mutual separation without any justification of pure performance,anataka anilipe 5months,je ninaweza kuchukua hela hiyo halafu nikamshtaki?
 
Nimeajairiwa na sekta binafsi,mwaajiri anataka tuvunje contract by mutual separation without any justification of pure performance,anataka anilipe 5months,je ninaweza kuchukua hela hiyo halafu nikamshtaki?
Huwezi, ukikubali kuvunja mkataba huwezi kushtaki baadae..

Mikataba ina njia kadhaa za kuisha
1. Kwa kufanyika kilichoingiwa mkataba (mf kumaliza ujenzi kwa mkataba wa ujenzi na kulipwa)
2. Kwa uwepo wa majanga ya asili (mf vita, njaa nk kutegemeana na kitu husika ktk mkataba)
3. Kwa kuvunja (upande mmoja ukashindwa kutimiza majukumu yake)
4. Kwa makubaliano (kama hayo anayotaka bosi wako)
 
sasa mmevunja mkataba maana ake yeye amekuomba wewe kuwa ameshindwa kuendelea na mkataba wenu(one party has a right to surrender) kama ameweza kulipa hiyo million tano kama demages yako hapo wala usiende kumshitaki maelezo zaidi fika ofisin kwangu
 
Nimeajairiwa na sekta binafsi,mwaajiri anataka tuvunje contract by mutual separation without any justification of pure performance,anataka anilipe 5months,je ninaweza kuchukua hela hiyo halafu nikamshtaki?
Hapana huwezi kukibali kuvunja mkataba halafi tena ukaenda kushitaki sheria itakubana au kama unataka ukawalipe watu fidia ya kumpotezea muda wa kuendesha kesi mahakamani
 
Ndo maana inaitwa mutual separation agreement
Wote kwa pamoja mmekubiana
Na Wala usiseme hakuna sababu
Sababu lazima ipo na mwajiri amekwambia

So mkikubaliana na ukaenda kushtaki utapoteza Muda wako tuu

Kama hutaki kataa kusaini hayo makubaliano kwa Hoja za msingi la sivyo utaonekana unafanya tuu ukorofi usio maana

All the best

Karibu Top Target kwa ushauri wa Masuala ya ajira
Pia tutakusaidia kupata kazi nyingine
 
Huwezi, ukikubali kuvunja mkataba huwezi kushtaki baadae..

Mikataba ina njia kadhaa za kuisha
1. Kwa kufanyika kilichoingiwa mkataba (mf kumaliza ujenzi kwa mkataba wa ujenzi na kulipwa)
2. Kwa uwepo wa majanga ya asili (mf vita, njaa nk kutegemeana na kitu husika ktk mkataba)
3. Kwa kuvunja (upande mmoja ukashindwa kutimiza majukumu yake)
4. Kwa makubaliano (kama hayo anayotaka bosi wako)
Hii ni kwa mikataba ya jumla (mikataba chini ya sheria ya mikataba sura 345 toleo la 2002). Lakini ktika sura la ikataba ya kazi kidogo inakuwa very specific so sheria inayotmika ni ELRA 2004 na kanuni zake 2007. Ndo tunapata mikataba ya aina hizi

1. Contract for unspecific term (no reference to time)
2. Contract for a specific time (specified time e.g 3yrs)
3. Contract for a specific task. (Upon end of that task)

Termination of contract by mutual consent, itakuwa ni ngumu kumshtaji mwajiri kwani "U-meconsent" kuacha so hiyo sio UNLAWFUL TERMINATION.
 
Pole mkuu, chukua hayo mafao ya meizi mitano, nenda na NSSF uwabembeleze wakupe chako upate mtaji ufungue genge lako uwe managing director mwenyewe... Am sure utapiga hatua... You are entering chattered water, but am sure they will be safe water for you...
 
Chukua pesa usepe itakusaidia kujiajir au kuhonga upate job ingine....

Vifungu vyako uchwara visikudanganye ukafungua kesi.

Utapoteza muda.
Unaweza kuonewa zaiiid.... hata iyo pay usiipate ukajikuta we ndo unakosa...

Si unajua nguvu ya pesa wewe
 
Chukua pesa usepe itakusaidia kujiajir au kuhonga upate job ingine....

Vifungu vyako uchwara visikudanganye ukafungua kesi.

Utapoteza muda.
Unaweza kuonewa zaiiid.... hata iyo pay usiipate ukajikuta we ndo unakosa...

Si unajua nguvu ya pesa wewe
mkuu kwa mfano mtu amefanya kazi miezi mitano kisha akaachishwa kazi ghafla bila barua yoyote ya kuachishwa kazi wala bila mshahara wa mwezi mmoja mbele.
mfanyakazi kama huyo ana haki gani mbele ya sheria?
mkataba aliokuwa nao ulikuwa unlimited
 
mkuu kwa mfano mtu amefanya kazi miezi mitano kisha akaachishwa kazi ghafla bila barua yoyote ya kuachishwa kazi wala bila mshahara wa mwezi mmoja mbele.
mfanyakazi kama huyo ana haki gani mbele ya sheria?
mkataba aliokuwa nao ulikuwa unlimited
Inategemea na conditions za mkataba wenu......

Km unakuruhusu kudai haki utatafuta wakili safi... munatafuta pesa.... ila km anakupa cha kujizugia we pokea mkaushie.... utapoteza muda tu pesa ni pesa braza....

Alafu kama uliingia kwa mkataba hakikisha unatoka kimkataba au kimahandish.... c ajabu document zako zinatumika kuwalipa wengine free kabiiisa...

Kwa iyo hizi inshu inategemea mulizianza vp
 
Inategemea na conditions za mkataba wenu......

Km unakuruhusu kudai haki utatafuta wakili safi... munatafuta pesa.... ila km anakupa cha kujizugia we pokea mkaushie.... utapoteza muda tu pesa ni pesa braza....

Alafu kama uliingia kwa mkataba hakikisha unatoka kimkataba au kimahandish.... c ajabu document zako zinatumika kuwalipa wengine free kabiiisa...

Kwa iyo hizi inshu inategemea mulizianza vp
mkuu asante kwa ushauri.. mkataba unaongelea tu majukumu ya kazi, lini nimejiunga basi. nimeulizia sana namna mkataba unavomalizwa lakini sijajibiwa zaidi ya kutishiwa kuachishwa kazi.
sasa ndo imetokea ghafla nimeachishwa kazi asubuhi asubuhi bila notisi yoyote.
nimepewa tu barua ya kupewa pesa ya NSSF, basi..
najiuliza kwenda kwa wanasheria, hali itakuwaje na mimi huku sina pesa hata kidogo ya kuwalipa
 
Kama hauna pesa na unajua umeonea.... as long as haujapoteza pesa yako... temana nao.....

Utapoteza pesa....
Uzembe uliufanya mwanzo.

Next time ukiwa unaachek job.
Make sure kuna mkataba unaoonesha.

Sheria na taratibu za kazi.
Mafao... over working boom.
Duration.
Vitu ambavyo vitasababisha kukuachisha kazi au kukomesha mshahara wako.

Kiwango sahihi cha mshahara.
Wadhamini.
E.t.c




Ila zkiwa kazi za kawaida laki 5 per month piga tu kienyej kuhofia usumbufu
 
Kama hauna pesa na unajua umeonea.... as long as haujapoteza pesa yako... temana nao.....

Utapoteza pesa....
Uzembe uliufanya mwanzo.

Next time ukiwa unaachek job.
Make sure kuna mkataba unaoonesha.

Sheria na taratibu za kazi.
Mafao... over working boom.
Duration.
Vitu ambavyo vitasababisha kukuachisha kazi au kukomesha mshahara wako.

Kiwango sahihi cha mshahara.
Wadhamini.
E.t.c




Ila zkiwa kazi za kawaida laki 5 per month piga tu kienyej kuhofia usumbufu
asante sana mkuu kwa maneno ya busara. kazi za wahindi hizi zinasumbua sana...
 
Ninamkataba wa miezi 12 mwajiri kavunja mkataba ndani ya miezi2 ya ajira kanipa notice ya 1month tu,nahakufata taratibu zaidi yakunipa barua yakunijutisha kuwa kafanya ritrinchment je nidai miezi iliyobaki kwenye mkataba?
 
Back
Top Bottom