muswada wa rasimu ya katiba uliopitishwa kibabe hivi karibuni mjini dodoma na kutakiwa kusainiwa na raisi mheshimiwa hatausaini na badala yake unarudishwa bungeni tarehe 29 october ukajadiwe upiya.
Huyu ni chumba cha siri. Ww unataka source.Kama sio kweli basi credibility ya mleta hoja itakuwa mashakani hapa JF. Hii ya katiba kitu ya kufanyia mzaha hata kidogo.
kikao ambacho kimekalijana kilikuwa kikao cha siri ambacho kilishirikisha baadhi wa wabunge wa ccm kutoka unguja na baadhi ya walio shindwa kwenye uchaguzi wa 2010 kutoka pemba. Na ndio wameishauri kamati maalumu ya kumshauri rais juu ya hili.
Inawezekana huu ndio mtindo mpya wa kutunga sheria sasa unaofanywa na Bunge; huu utakuwa mswada wa ngapi wa sheria kulazimishwa kurudishwa Bungeni kabla hata haujaanza kutumika?