gukundo gwa nyokoKibombo Kya nyoko
amegeneralize sana.Mkuu umewakosea heshima wakwe zangu Wakiroba,, sema kabisa wenye tabia hizo ni Wajita sasa ungeandika "Wajita mtabadilika lini?"
MmmMusoma kuendelea sio leo
Ndo ukweli mkuu
Wewe jamaa una nyege eti?? Musoma panakuhusu nini, mbuzi wewe.Wala kesho
Hilo mullisya umelielewa kwel?Mkuu yameshakuwa haya tena?
Hii inshu ni ya kihistoria ,wanauadui uliorithisishwa.chanzo ni ng'ombeKiufupi ukivuka mto mara tu! Kwenda upande ule mpaka sirari huwezi kuta mmasai eti! Anafuga kwanza sijawahi ona masai Tarime Sijui shida ni nini?
Hilo neno mulisya ,shukuru halijui maana yake?. Hili neno liliwahi kumkost mtu pale nyasaka mwanza. Umelitamka umenkumbusha mbali.Mulisya wewe Wa Ntarahamwe uliyetoroka kwenye makambi ya wakimbizi. Jionee fahari unya Rwanda wako, acha kuzuga na kujidai wewe ni Mkurya
Hizi ndio tabia hasa za kabira la wajita,wakurya hawanaga huo muda.KARIBU MUSOMA MJI WENYE UTAJIRI WA MAJUNGU !!!
Mji Wenye Wivu
Mji Wenye Baraka Ya Uongo
Kijiji Chenye Kiu Ya Umbea
Kijiji Cha Unafiki!
Ukipata Freemason
Ukifulia Wanakucheka
Ukiwaomba Hawakujui,
Ukinenepa Ana Mimba
Ukikonda Ana Ngoma,
Ukiondoka kwenda kujitafutia kakimbia.
Ukikaa tu hana raman
Ukisimama Na mtu Dk 5 mnatongozana Hata Kama Ni Kaka Yako
Ukivaa Vizuri Sharo!
UNABISHA?? HEBU WATUMIE WAKAZI WA mkoa wa mara WAKUTHIBITISHIE !
Kweli kabisa yapo kote inawezekana mtoa mada hajawahi ishi mikoa mingine kwa hivyo asilaumiwe sana.
Yaani we acha tu! Nimebaki na machata mpaka jeshi wanikataa wakihisi rijambazi ila nashkuru life Good kwa watu natamani waje huku na Fuso sijui watabeba kipi waaache kipi? Maana vyote vizuri