Musoma mtabadilika lini?

Heci

JF-Expert Member
Aug 14, 2016
3,483
5,812
KARIBU MUSOMA MJI WENYE UTAJIRI WA MAJUNGU !!!
Mji Wenye Wivu
Mji Wenye Baraka Ya Uongo
Kijiji Chenye Kiu Ya Umbea
Kijiji Cha Unafiki!
Ukipata Freemason
Ukifulia Wanakucheka
Ukiwaomba Hawakujui,
Ukinenepa Ana Mimba
Ukikonda Ana Ngoma,
Ukiondoka kwenda kujitafutia kakimbia.
Ukikaa tu hana raman
Ukisimama Na mtu Dk 5 mnatongozana Hata Kama Ni Kaka Yako
Ukivaa Vizuri Sharo!
UNABISHA?? HEBU WATUMIE WAKAZI WA mkoa wa mara WAKUTHIBITISHIE !
 
Mkuu TV yako af bado waichukue na kukucharanga bila kuna shida yeyote?
Yaani we acha tu! Nimebaki na machata mpaka jeshi wanikataa wakihisi rijambazi ila nashkuru life Good kwa watu natamani waje huku na Fuso sijui watabeba kipi waaache kipi? Maana vyote vizuri
 
Back
Top Bottom