Wadau naomba kujua, Muslim Universities zipo kwenye nchi gani zingine mbali na Tanzania?
Na zenyewe zinaendeshwa kama huku kwetu Tanzania kwamba hata enrollment imekaa kibaguzi?
Waalimu wao wana sifa zipi au kama huku kwetu Tanzania ambapo karibu wote ni toutorial assistants.
Na wao wana majengo ya kupewa au wamejenga ya kwao?
<br />
<br />
Si hivyo tu kuna jamaa walimzika jamaa mkuu wao wa aya wakamwacha kichwa nje ili awahi kufufuka si kitim akamla bas utasikia .ni haramu hata kumshika.
Wakuu, muelewe kwamba shule kwao sio sunna za mtume kama ilivyo ubwabwa, mbuguma, nk nk! hivyo basi, mnamlazimisha mbuzi kula nyama! aya inasema, 'Ni yeye aliempeleka mtume asiejua kusoma miongoni mwao.'
Watanzania wamejawa na udini mbaya. Hivi haya mambo ya kujadili taasisis za dini yameanza lini?huu ni uchafu kabisa. Hatujengi ila tunabomoa. Mod;sijui kwanini unaruhusu hili. JF inaanza kuwa kichefuchefu.
Hata kama ni global issue lakini wewe huoni kama kwa kuwa na vyuo kumi (+ na hiki kinachochechemea cha Morogoro) hamjajua tu kuwa mko nyuma sana globally? Maana huku kwetu mtasema mnanyanyaswa na mfumo Kristo, na huko kwengine kwenye mfumo Mudi napo mnanyanyaswa?
Jibu hoja, pose your arguments sio kutukana. huko ni kufilisika kihoja!!! Ni kujivisha mabomu na kujilipua kama yaliyotokea jana Iraq. Challenge your opponent and not present ad hominen argument!!
Hivi ni shule zipi za waislam ambazo zilitaifishwa na serikali, bila shaka wakirudishiwa waweza kuzigeuza kuwa varsities. Za kanisa ambazo ziko mikononi mwa serikali ni hizi hapa:
1. Ilboru
2. Ihungo
3. Kilakala
4. Rugambwa
5. Umbwe
6. Msalato
7.
Ongeza ya kwako unayoikumbuka