eminent luxy
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 343
- 351
Viongozi wengi wa sadc na East Africa walikuwa vibaraka wa our great hero na Tz kwa ujumla
Bila kusahau na kuwapangia raisiNazungumzia vita ya Kagera iliyomuondoa Iddi Amini Dada
JK alikuwa kiboko, anapiga saini watu wa kazi wamshughulikie mtu pale mabwe pande halafu kesho asubuhi anakuwa wa kwanza kwenda kumpa mtu pole pale muhimbili.Tundu hana tofauti na wale watoto wa kambo mwanaume anayejitolea kulea mtoto wa mke wake kwa moyo mmoja, lakini kutwa kucha hilo toto Tundu ni kumtukana na kumkejeli baba mlezi huyo!
Bila kusahau wizi anaoufanya ndani ya nyumba ya baba mlezi akishirikiana na masela ya mtaani (Mabepari).
Alifata mfumo wa kijamaa, na ujamaa uzaa udikteta, ujamaa na udikteta uzaa umasikini. Adui wa ujamaa na udikteta ni wasomi na matajiri, ujamaa utukuzwa fikra za MTU au chama, ubepari utukuzwa fikra za wengi,na palipo na wengi hakiiharibiki kitu.ndo Maana ubepari uendana na demokrasia na demokrasia uleta maendeleo, hakuna udikteta kwenye ubepari.Vp nyerere alitawala kwa utawala bora mkuu?
Udongo uliotumika kwa Nyerere ni tofauti na udongo wa Museveni.Sawa Lakini Yeye Anashindwa Kufuata Nyayo Zake?
Unafiq Tu Hana Lolote
Siyo Mseven tu, ata mimi bado napata shida kupata kiongozi wa kulinganisha na Nyerere..!Baada ya Kufungua Kituo Kipya ya Uongozi nchini Uganda kilichoitwa Julius Nyerere Leadership Centre Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema bado mpaka leo hii hajaona Kiongozi mwenye maono, makini, mwerevu na mzalendo wa kweli kama Hayati Baba wa Taifa Nyerere.
Mara baada ya Watanzania wanaosoma katika Chuo Kikuu cha Makerere Kumkabidhi Rais Museveni Zawadi yao ndipo Museveni nae akapewa wasaa wa Kuhutubia ambapo kama kawaida yake wala hakuficha Mapenzi yake mema na ya Kutukuka kwa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
" Ni kweli Afrika na Duniani kumekuwepo Marais / Viongozi wengi ila nisiwe mwongo hadi hivi leo kila nikitaka kuwalinganisha hao wengine na Baba yangu na Mlezi wangu wa Kisiasa Mzee Nyerere bado nakosa kwani nadhani huyu Mtu ( Nyerere ) Mwenyezi Mungu alimuumba kwa Udongo wa peke yake ambao aliubariki sana kuliko Udongo mwingine ambao alitumia kuwaumbia Viongozi wengine ".
" Nimefurahi sana kuanzishwa kwa Kituo hiki na hasa hasa kwa Kukiita jina la Julius Nyerere kwa kuamini ya kwamba Wanasiasa wa Uganda, Afrika ya Mashariki, Afrika na hata duniani kwa ujumla watakitumia ili waweze kujifunza aina mbalimbali za Siasa na Uongozi kama Urithi wake mwenyewe Baba wa Siasa za Ukombozi barani Afrika Mzee Nyerere ".
Watanzania tufanye mambo yetu yote ila tukae tukijua ya kwamba Heshima yetu huko nje ya mipaka yetu inabebwa na itaendelea kubebwa sana na juhudi zake Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere hivyo nasi kama Watanzania yatupasa tujivunie na tumuenzi huyu Mzee kwa nguvu zetu zote kwani japo sasa ni miaka 19 tokea atutoke duniani ila matunda ya juhudi zake ndizo zinatufanya Watanzania wengi leo tutembee hivi Vifua mbele huku tukitiririka na kuserereka kwa amani na upendo tofauti na nchi zingine / mataifa mengine.
Mwenyezi Mungu ailaze mahala pema peponi roho ya Hayati Baba wa Taifa na wenye ' akili / upeo ' tutamlilia na kumkumbuka daima. Na nichukue pia fursa hii adhimu kabisa kuwataka Viongozi wa ngazi zote nchini Tanzania kuwa najua hamna ubavu wa kuwa kama Nyerere ( japo akina Yericko wala Steve wanajitutumua lakini bado ) ila basi katika 100% ya matendo yake igeni basi hata 65% hadi 75% ili nanyi baadae Vizazi mbalimbali duniani vije kuwakumbukeni.
Nawasilisha.
Source: State House Uganda
Makerere University
Museveni hana jipya, angekuwa anaamini hayo angestaafu kwa heshimaBaada ya Kufungua Kituo Kipya ya Uongozi nchini Uganda kilichoitwa Julius Nyerere Leadership Centre Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema bado mpaka leo hii hajaona Kiongozi mwenye maono, makini, mwerevu na mzalendo wa kweli kama Hayati Baba wa Taifa Nyerere.
Mara baada ya Watanzania wanaosoma katika Chuo Kikuu cha Makerere Kumkabidhi Rais Museveni Zawadi yao ndipo Museveni nae akapewa wasaa wa Kuhutubia ambapo kama kawaida yake wala hakuficha Mapenzi yake mema na ya Kutukuka kwa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
" Ni kweli Afrika na Duniani kumekuwepo Marais / Viongozi wengi ila nisiwe mwongo hadi hivi leo kila nikitaka kuwalinganisha hao wengine na Baba yangu na Mlezi wangu wa Kisiasa Mzee Nyerere bado nakosa kwani nadhani huyu Mtu ( Nyerere ) Mwenyezi Mungu alimuumba kwa Udongo wa peke yake ambao aliubariki sana kuliko Udongo mwingine ambao alitumia kuwaumbia Viongozi wengine ".
" Nimefurahi sana kuanzishwa kwa Kituo hiki na hasa hasa kwa Kukiita jina la Julius Nyerere kwa kuamini ya kwamba Wanasiasa wa Uganda, Afrika ya Mashariki, Afrika na hata duniani kwa ujumla watakitumia ili waweze kujifunza aina mbalimbali za Siasa na Uongozi kama Urithi wake mwenyewe Baba wa Siasa za Ukombozi barani Afrika Mzee Nyerere ".
Watanzania tufanye mambo yetu yote ila tukae tukijua ya kwamba Heshima yetu huko nje ya mipaka yetu inabebwa na itaendelea kubebwa sana na juhudi zake Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere hivyo nasi kama Watanzania yatupasa tujivunie na tumuenzi huyu Mzee kwa nguvu zetu zote kwani japo sasa ni miaka 19 tokea atutoke duniani ila matunda ya juhudi zake ndizo zinatufanya Watanzania wengi leo tutembee hivi Vifua mbele huku tukitiririka na kuserereka kwa amani na upendo tofauti na nchi zingine / mataifa mengine.
Mwenyezi Mungu ailaze mahala pema peponi roho ya Hayati Baba wa Taifa na wenye ' akili / upeo ' tutamlilia na kumkumbuka daima. Na nichukue pia fursa hii adhimu kabisa kuwataka Viongozi wa ngazi zote nchini Tanzania kuwa najua hamna ubavu wa kuwa kama Nyerere ( japo akina Yericko wala Steve wanajitutumua lakini bado ) ila basi katika 100% ya matendo yake igeni basi hata 65% hadi 75% ili nanyi baadae Vizazi mbalimbali duniani vije kuwakumbukeni.
Nawasilisha.
Source: State House Uganda
Makerere University
Unafiki kivipi kwani kakuambia yeye anampango wa kupita mapito ya Nyerere? Kakuambia dunia nzima hakuna kama Nyerere kwa maana na yeye pia akiwamo, Kwani ni lazima watu wote waongoze kama Nyerere?Sawa Lakini Yeye Anashindwa Kufuata Nyayo Zake?
Unafiq Tu Hana Lolote
Jiwe na udhaifu wake wote ukimuuliza ni mwanasiasa gani ambaye anampenda ni lazima atamtaja Mwalimu Nyerere. Na jiwe anao uthubutu kama wa Mwalimu, akiongea siku zote kauli yake inakuwa na uzito.kwahiyo wale wanaomfananisha jiwe/kichaa na nyerere wanafanya makosa
Unamuota TL wakati wote?Tundu Lissu huwa akifungua kinywa chake haishi kumkejeli huyu muasisi wa taifa hili.
Lugha inanichenga. Naomba definition ya kibaraka!Viongozi wengi wa sadc na East Africa walikuwa vibaraka wa our great hero na Tz kwa ujumla
Siyo sahii. Atamtaja PK na M7.Jiwe na udhaifu wake wote ukimuuliza ni mwanasiasa gani ambaye anampenda ni lazima atamtaja Mwalimu Nyerere. Na jiwe anao uthubutu kama wa Mwalimu, akiongea siku zote kauli yake inakuwa na uzito.
Elimu bure ya leo ndio UPE iliyotusomesha sisi, walanguzi ndio mafisadi. Yapo na mengine mengi. Kumbuka kuwa watu aina ya RIP Julius Nyerere huwa hawazaliwi kila siku.Siyo sahii. Atamtaja PK na M7.