Soma vizuri uzi kwani mawaziri hawajazungumziwa!?Yaani kati ya Mawaziri 80+ mumeona Janeth M7 tu, hakika binadamu tuna mapungufu!
Anamuandaa kuwa next president huku mwanaye Kainerugaba akiwa cdfKwani angemuacha kama first lady kulikuwa na ubaya gani? Nachukia hizi siasa za Africa
sipati picha ya Uganda miaka ijayo!Anamuandaa kuwa next president huku mwanaye Kainerugaba akiwa cdf
Ha ha ha du, maiti upo nyuma kibodi lolUganda kuna marehemu Tanzania maiti Kenya wagonjwa mahututi.
Soma vizuri uzi kwani mawaziri hawajazungumziwa!?
Mbona hueleweki.. M7 sijamsifia nimekuambia soma vizuri thread imemkosoa kwa kumteua mke wake na ukubwa wa baraza la mawaziri.. Sasa sifa kwako mimi ya nn!?Labda na wewe unataka sifa kupitia kwangu, huoni watu wengi wanamkosoa M7 kwa kumteua mkewe kuwa Waziri?
Tumia Akili kufikiria!