dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,497
- 3,462
Ndugu MUSA VENERABLE MZIBA mfanyabishara mwenye umri wa miaka 37 anaemiliki Kampuni ya Mzibaz Empire Investments Ltd amechukuliwa na watu wasiojulikana Tar: 07 Desemba mida ya Saa 2 Usiku, akiwa maeneo ya ofisini kwake Mikocheni.
Familia Inaomba sana Msaada kwa Jeshi la Polisi Tanzania kuwasaidia kufanikisha kumpata ndugu/jamaa/baba yao KIN/CID/PE 1.68 / 2023 JALADA LA UCHUNGUZI 12.12.2023 DYB / RB / 7972 / 2023
TAARIFA
Mwenye taarifa yoyote tafadhali wasiliana kwa namba: 0713437374 au 0683520687
MWENYEZI MUNGU ABARIKI NDUGU YETU MUSA MZIBA APATIKANE AKIWA SALAMA.
Familia Inaomba sana Msaada kwa Jeshi la Polisi Tanzania kuwasaidia kufanikisha kumpata ndugu/jamaa/baba yao KIN/CID/PE 1.68 / 2023 JALADA LA UCHUNGUZI 12.12.2023 DYB / RB / 7972 / 2023
TAARIFA
Mwenye taarifa yoyote tafadhali wasiliana kwa namba: 0713437374 au 0683520687
MWENYEZI MUNGU ABARIKI NDUGU YETU MUSA MZIBA APATIKANE AKIWA SALAMA.