Muono wa muoaji

Duh tuache utani majina yoote mmekosa mtu anaitwa 'kojo'?
seriously?
 
Duh tuache utani majina yoote mmekosa mtu anaitwa 'kojo'?
seriously?
Kojo is a Ghana name means Monday, wale wenzetu wanapewa majina kutokana na siku uliyozaliwa, niliyemzidi umri kwa miaka 12 ametoka Ghana but Kojo is not his name though, I used this name because I wanted to be neutral in using Christian or Muslim name.
 
Juzi tu tumemrudisha balozi wa Zambia kama sikosei, mambo haya haya ya majina.

Leo umetujia na Kojo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…