Muongozo kupata kazi bank

Muongozo kupata kazi bank

StanyRosa

Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
11
Reaction score
23
Mimi nina diploma ya procurement and logistic management natafuta kazi bank
 
Mimi nina diploma ya procurement and logistic management natafuta kazi bank
Nenda Bank yeyote onana na Manager au tumia wafanyakazi unaowafahamu waambie wakutafitie Internship au tuma maombi... Usitume online nenda moja Kwa moja..


Fanya hiyo internship Kwa miezi sita.. Fanya bure tuu..


The rest is history!
 
Nenda Bank yeyote onana na Manager au tumia wafanyakazi unaowafahamu waambie wakutafitie Internship au tuma maombi... Usitume online nenda moja Kwa moja..


Fanya hiyo internship Kwa miezi sita.. Fanya bure tuu..


The rest is history!
Good idea thank you
Ntafanyia kazi
 
Bank teller
Loan Officer
Una kasi yakuandika kwenye keyboard na kuhesaba pesa nyingi bilakutumia mashine, kiasi gani una weza hesabu? na kompyuta aina gani kati ya windows na mac unaweza tumia? na kasi yako yakuchapicha kwa kompyupa ipoje?
 
...usimuulize maswali ya kindezi kama huna msaada;
..kompyupa ndo nini we fala
walio Ingia wote.walkuwa wanajua computer.huwezi ingia nyumba ya mtu bila kuelekezwa hiki choo .bafu na n,k kaka nenda kaombe utapata
 
Nina maana maalumu nilipo muliza hilo swali. vitu ambavyo havi kuhusu achana navyo.
....huna maana yoyote punguza mashauzi!
...na unajuaje havinihusu;wewe unaeuliza maswali ya kikuzi ndo achana na vitu visivyokuhusu;kimsingi huvijui!
 
walio Ingia wote.walkuwa wanajua computer.huwezi ingia nyumba ya mtu bila kuelekezwa hiki choo .bafu na n,k kaka nenda kaombe utapata
....kuna kuzi mmoja anauliza maswali ya spidi ya kuhesabu hela kwa mkono,sijui kutype na aina ya kompyuta unayoweza kutumia wakati banks zinatoa training kwa waajiriwa wapya especially hawa wa ngazi za chini!
 
....kakojoe ukalale;next time usijitie kimbelembele kwa vitu usivyovielewa shangazi!
Hivi vitoto vya fb toka vifunge shule vinasumbua kweli huku jamii forum wacha shule zifunguliwe tu. wewe kipi unacho juwa?
 
Hivi vitoto vya fb toka vifunge shule vinasumbua kweli huku jamii forum wacha shule zifunguliwe tu. wewe kipi unacho juwa?
.....teh hee hee hee...,eti vitoto vya fb!
..kifupi,nachojua kujuwa kuhesabu hela kwa mkono wala spidi ya kutype wala aina ya kompyuta hakujawahi kuwa hitaji la msingi kwa mtu kuajiriwa bank!
..unapoanza kumuuliza mtu eti kama anavijua unaonekana kiazi tu zaidi ya sisi 'vitoto vya fb'
..na shule hatufungui sasa,una tatizo?
 
Back
Top Bottom