Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,450
- 12,317
- Thread starter
- #41
Huyu jamaa bana daah
Huyu jamaa bana daah
Katika inshu chafu, Wazungu hawapendi kulaumiwa peke yao. Watahakikisha ulimwengu wote wameubadili ili jamii ilichukulie poa.
Huku wanaiga bila akili ndio mana kila kitu kinakua to the maximumKatika inshu chafu, Wazungu hawapendi kulaumiwa peke yao. Watahakikisha ulimwengu wote wameubadili ili jamii ilichukulie poa.
Na mbinu kubwa waidanyayo ni kuwateka vioo wa jamii kuwa mashoga au ku- promote ushoga.
Na bado tutasikia mengi sana kuhusu wasanii na wasio wasanii.
Juzi kati Mshana Jr alileta uzi wa wanawake wakiandamana uchi, watu wengi walidhani ni hadithi.
Huku Africa madhara ndiyo yatakuwa makubwa zaidi kuliko hata huko ulaya.
Umeenda chaka hapo ulipotumia uzi wa mshana kama reference.Katika inshu chafu, Wazungu hawapendi kulaumiwa peke yao. Watahakikisha ulimwengu wote wameubadili ili jamii ilichukulie poa.
Na mbinu kubwa waidanyayo ni kuwateka vioo wa jamii kuwa mashoga au ku- promote ushoga.
Na bado tutasikia mengi sana kuhusu wasanii na wasio wasanii.
Juzi kati Mshana Jr alileta uzi wa wanawake wakiandamana uchi, watu wengi walidhani ni hadithi.
Huku Africa madhara ndiyo yatakuwa makubwa zaidi kuliko hata huko ulaya.
Unadhani sifaDaa hadi nimedinda asee
Katoto katamu haka