Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,780
Mpende msipende CCM nawanyooshea kidole, kwamba mbinu hii ya kumonitor media kwa dhamira ya kuminya vuguvugu la UKAWA kusambaa ltawagharimu.
Tofauti kabisa na mfikiriavyo, leo Mwanza UKAWA wamefanya mkutano wa kihistoria.
TBC chombo cha Taifa, katika taarifa yake ya habari ya saa 5 usiku, (Taarifa inayoitwa ya kutwa), Haikutaja chochote kuhusu mkutano huu.
Mkutano uliyosababisha shughuli nyingi kusimama leo jijini!
Mkutano uliokusanya maelfu ya watanzania!
Mkutano ambao umemhusisha mtu ambae kuna kila viashiria, huenda akawa mkuu wa nchi.
Kisha chombo cha Taifa kiwe silency kama vile hakukuapo na tukio!
Pamoja na mgao wa umeme, haijapata tokea umeme umekatwa jana usiku wa saa 8.
Ukarejeshwa leo saa 12 jioni, ambako ulidumu kwa dkk 45 then ukakatwa hadi hivi naandika na mshumaa saa 6 kasoro usiku.
Ni lipi litakalotuzuia tusiamini kuzimwa huku kwa umeme tofauti na mgao wa kila siku, ni kudhibiti watanzania ambao hawakuweza kufika eneo la tukio kwa sababu zozote zile wafungwe macho?
Tofauti kabisa na mfikiriavyo, leo Mwanza UKAWA wamefanya mkutano wa kihistoria.
TBC chombo cha Taifa, katika taarifa yake ya habari ya saa 5 usiku, (Taarifa inayoitwa ya kutwa), Haikutaja chochote kuhusu mkutano huu.
Mkutano uliyosababisha shughuli nyingi kusimama leo jijini!
Mkutano uliokusanya maelfu ya watanzania!
Mkutano ambao umemhusisha mtu ambae kuna kila viashiria, huenda akawa mkuu wa nchi.
Kisha chombo cha Taifa kiwe silency kama vile hakukuapo na tukio!
Pamoja na mgao wa umeme, haijapata tokea umeme umekatwa jana usiku wa saa 8.
Ukarejeshwa leo saa 12 jioni, ambako ulidumu kwa dkk 45 then ukakatwa hadi hivi naandika na mshumaa saa 6 kasoro usiku.
Ni lipi litakalotuzuia tusiamini kuzimwa huku kwa umeme tofauti na mgao wa kila siku, ni kudhibiti watanzania ambao hawakuweza kufika eneo la tukio kwa sababu zozote zile wafungwe macho?