Siku za karibuni kumekuwepo na kitu amabcho kinaonekana ni janga lingine la kitaifa nacho ni Watanzania (na wakaazi wengine wa dunia) kusitisha matumizi ya akili katika masuala ya msingi.
Ni juma moja tu lililopita makanisa yamechomwa moto ffu kuuawa, nguruwe kuuawa na mengine mengi.
Sasa kwa vile kila mmoja anaonekana kupigana kwa jina la Mungu, naomba wanajamvi tuelezane kati ya hawa ni nani Mungu wa kweli/wako (unayemwamini)????
Allah
Mungu
Katonda
Nzambe
Rugaba
YEHOVA
Nyasae
Ruoth
...
....
...
...
...
....
....
...
tueleze na wa kwako kama hayupo kati ya hawa.
na ndio maana hii hoja nimeileta huku maana inaweza kuonekana ni dharau kwa wengine pale unapoipeleka majukwaa 'serious'.
Sasa kwa maana hiyo inaweza kuona tumekuwa wajinga kiasi gani kwa kupambana, kuuana hadi kuchomeana makanisa wakati sote ni watoto wa baba mmoja ambaye ni Mungu.
Badala ya kujiuliza swali la msingi kuwa "kama Mungu ni mmoja kwa nini basi anawatenganisha watoto wake"?
ambaye kimsingi ndiye huyo huyo aliyekuumba wewe pia, sasa ni kwa nini huyo huyo atutenganishe!??? ...au ndio kiasi cha ujinga wetu na kutopenda kufikiri juu ya mambo ya msingi kama haya!
asante mkuu kwa kumuelezea hilo suala la msingi na hiyo ni ushahidi kuwa hata Mungu wa kweli wengi wetu hatumheshimu na tunamdharau kwa kumuandika kwa herufi ndogo