Mungu wa Magoli...

Mungu wa Magoli...

vindrusam

Member
Joined
Jan 13, 2020
Posts
9
Reaction score
5
Naomba nieleweshwe vizuri maana sielewi, hivi Fawler aliyekuwa mchezaji wa Liverpool aliitwa Mungu wa Magoli ilikuaje na alicheza mwaka gani? Kwanini walimpa jina hilo na alikua anacheza nafasi gani?

Naomba msaada wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko Anfield, mashabiki wa Liverpool walimwita Robbie Fowler kuwa ni mungu wao. Kuna baadhi ya wachambuzi wanaamini pengine hiyo ndiyo laana inayoifanya timu hiyo hadi sasa kushindwa kubeba ubingwa wa Ligi Kuu England licha ya kukaribia kufanya hivyo zaidi ya mara mbili.

Msimu huu wanaonekana kuwa kwenye nafasi nzuri ya kuchukua ubingwa, lakini kama watashindwa basi itabidi waende kutubu kutokana na kumwona Fowler kama mungu wao. Kilichowafanya Kop pengine kumfanya Fowler awe wanavyofikiria wao ni ule uwezo wake wa kufunga mabao, ambapo rekodi zinaonyesha kwamba staa huyo amefunga hat-trick tisa kwenye Ligi Kuu England. Hat-trick yake ya mwisho Fowler alifunga Boxing Day, 2001.

Rudi Nyumbani Kumenoga.
 
Huko Anfield, mashabiki wa Liverpool walimwita Robbie Fowler kuwa ni mungu wao. Kuna baadhi ya wachambuzi wanaamini pengine hiyo ndiyo laana inayoifanya timu hiyo hadi sasa kushindwa kubeba ubingwa wa Ligi Kuu England licha ya kukaribia kufanya hivyo zaidi ya mara mbili.

Msimu huu wanaonekana kuwa kwenye nafasi nzuri ya kuchukua ubingwa, lakini kama watashindwa basi itabidi waende kutubu kutokana na kumwona Fowler kama mungu wao. Kilichowafanya Kop pengine kumfanya Fowler awe wanavyofikiria wao ni ule uwezo wake wa kufunga mabao, ambapo rekodi zinaonyesha kwamba staa huyo amefunga hat-trick tisa kwenye Ligi Kuu England. Hat-trick yake ya mwisho Fowler alifunga Boxing Day, 2001.

Rudi Nyumbani Kumenoga.
Nimekuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom