Duu wapi hiyo, Somalia?
Call on the Name Jesus
Wanaotupeleka ni CCM
Hiyo ni CAR yaani Jamhuri ya Africa ya Kati
Mwacha naye afurahi sindiyo faida ya Smartfone !! powa...tumwombee rais wetu mungu azidi kumpa hekima ili tuepuke haya.View attachment 178941
Mmmh!! wewe kwani alikuwa ashkiiLess? mwenzio alikuwa na waDosi na hujui tu ! alikuwa na Privacy kali... hakuna tucamera au mashushushuu kuchungulia hata bustani ya ikulu huwezi tupa macho!! Enzi za KGB/full kupelelezana ! Leo aaah tunacheeeeka na JK, hadi magazeti udaku yanapeta !Angekuwa mchonga meno wasingethubutu japo kumsogelea