Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 361,084 Reaction score 831,720 Sep 12, 2023 #21 Missy Gf said: ulipe kabisa deni la mgodi....pambana we ni mwanaume utatoboa tu..acha kukiri udhaifu Click to expand... Duh Sent using Jamii Forums mobile app
Missy Gf said: ulipe kabisa deni la mgodi....pambana we ni mwanaume utatoboa tu..acha kukiri udhaifu Click to expand... Duh Sent using Jamii Forums mobile app
MzeeKipusa JF-Expert Member Joined Feb 10, 2023 Posts 2,705 Reaction score 4,971 Sep 12, 2023 Thread starter #22 Missy Gf said: ulipe kabisa deni la mgodi....pambana we ni mwanaume utatoboa tu..acha kukiri udhaifu Click to expand... Asante kwà ushauri
Missy Gf said: ulipe kabisa deni la mgodi....pambana we ni mwanaume utatoboa tu..acha kukiri udhaifu Click to expand... Asante kwà ushauri
L Luggy JF-Expert Member Joined Aug 6, 2012 Posts 3,742 Reaction score 3,325 Sep 12, 2023 #23 MzeeKipusa said: Dah huu mwaka sitoboi asee Yani naziona 6 feet hizi hapa live kabisa bila chenga! Mambo ni mengi mengi mno : Yameniandama! Lord have Mercy! Click to expand... Usikiri kwamba kuona hizo futi 6..amimi Mungu aweza kukuponya
MzeeKipusa said: Dah huu mwaka sitoboi asee Yani naziona 6 feet hizi hapa live kabisa bila chenga! Mambo ni mengi mengi mno : Yameniandama! Lord have Mercy! Click to expand... Usikiri kwamba kuona hizo futi 6..amimi Mungu aweza kukuponya
MzeeKipusa JF-Expert Member Joined Feb 10, 2023 Posts 2,705 Reaction score 4,971 Sep 12, 2023 Thread starter #24 Mshana Jr said: Mungu hawezi kamwe kutupa jaribu kutuzidi uwezo wetu.. Na daima huwa hafungi milango yote Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Amina
Mshana Jr said: Mungu hawezi kamwe kutupa jaribu kutuzidi uwezo wetu.. Na daima huwa hafungi milango yote Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Amina
Donatila JF-Expert Member Joined Oct 23, 2014 Posts 8,247 Reaction score 25,191 Sep 12, 2023 #25 MzeeKipusa said: NITATOBOA Click to expand... Naiwe hivyo kwa damu ya YESU... Amina
MzeeKipusa JF-Expert Member Joined Feb 10, 2023 Posts 2,705 Reaction score 4,971 Sep 12, 2023 Thread starter #26 Mad Max said: Litapita ili nalo MzeeKipusa Be strong Click to expand... Thanks
MzeeKipusa JF-Expert Member Joined Feb 10, 2023 Posts 2,705 Reaction score 4,971 Sep 12, 2023 Thread starter #27 Donatila said: Naiwe hivyo kwa damu ya YESU... Amina Click to expand... Amina Amina
MzeeKipusa JF-Expert Member Joined Feb 10, 2023 Posts 2,705 Reaction score 4,971 Sep 12, 2023 Thread starter #28 Luggy said: Usikiri kwamba kuona hizo futi 6..amimi Mungu aweza kukuponya Click to expand... Mungu nisaidie
Luggy said: Usikiri kwamba kuona hizo futi 6..amimi Mungu aweza kukuponya Click to expand... Mungu nisaidie
L Luggy JF-Expert Member Joined Aug 6, 2012 Posts 3,742 Reaction score 3,325 Sep 12, 2023 #29 MzeeKipusa said: Mungu nisaidie Click to expand... Atakusaidia na utaleta ushuhuda hapa
MzeeKipusa JF-Expert Member Joined Feb 10, 2023 Posts 2,705 Reaction score 4,971 Sep 12, 2023 Thread starter #30 Luggy said: Atakusaidia na utaleta ushuhuda hapa Click to expand... Na iwe hivyo katika jina la YESU.
Luggy said: Atakusaidia na utaleta ushuhuda hapa Click to expand... Na iwe hivyo katika jina la YESU.
Donatila JF-Expert Member Joined Oct 23, 2014 Posts 8,247 Reaction score 25,191 Sep 12, 2023 #31 MzeeKipusa said: Mungu nisaidie Click to expand... Atakusaidia mkuu... Omba Toba na Rehema... Jitakase kwa damu ya YESU...
MzeeKipusa said: Mungu nisaidie Click to expand... Atakusaidia mkuu... Omba Toba na Rehema... Jitakase kwa damu ya YESU...
cocochanel Platinum Member Joined Oct 6, 2007 Posts 28,670 Reaction score 78,171 Sep 12, 2023 #32 ANDIKA yanayokusibu utoe mzigo huo..
MzeeKipusa JF-Expert Member Joined Feb 10, 2023 Posts 2,705 Reaction score 4,971 Sep 12, 2023 Thread starter #33 Donatila said: Atakusaidia mkuu... Omba Toba na Rehema... Jitakase kwa damu ya YESU... Click to expand... Amina Amina. Powerful this one! Thanks
Donatila said: Atakusaidia mkuu... Omba Toba na Rehema... Jitakase kwa damu ya YESU... Click to expand... Amina Amina. Powerful this one! Thanks
MzeeKipusa JF-Expert Member Joined Feb 10, 2023 Posts 2,705 Reaction score 4,971 Sep 12, 2023 Thread starter #34 cocochanel said: ANDIKA yanayokusibu utoe mzigo huo.. Click to expand... Mungu anajua
M Mbwa kala mbwaa JF-Expert Member Joined Apr 16, 2013 Posts 219 Reaction score 391 Sep 12, 2023 #35 Nipo tayari kusaidia kwa kadiri ya niwezavyo uvuke kaka/dada. Karibu PM tafadhali
MzeeKipusa JF-Expert Member Joined Feb 10, 2023 Posts 2,705 Reaction score 4,971 Sep 12, 2023 Thread starter #36 Mbwa kala mbwaa said: Nipo tayari kusaidia kwa kadiri ya niwezavyo uvuke kaka/dada. Karibu PM tafadhali Click to expand... Nashukuru
Mbwa kala mbwaa said: Nipo tayari kusaidia kwa kadiri ya niwezavyo uvuke kaka/dada. Karibu PM tafadhali Click to expand... Nashukuru
Leejay49 JF-Expert Member Joined Feb 10, 2023 Posts 19,299 Reaction score 60,931 Sep 12, 2023 #37 Stay strong, time heals
Saad30 JF-Expert Member Joined May 26, 2020 Posts 3,236 Reaction score 6,344 Sep 12, 2023 #38 MzeeKipusa said: Dah huu mwaka sitoboi asee Yani naziona 6 feet hizi hapa live kabisa bila chenga! Mambo ni mengi mengi mno : Yameniandama! Lord have Mercy! Click to expand... Hakika penye uzito basi wepesi upo. Hakika giza totoro ndio ishara ya mapambazuko. Kuna wanayopitia zaidi yako hivyo sema unaweza mkuu.
MzeeKipusa said: Dah huu mwaka sitoboi asee Yani naziona 6 feet hizi hapa live kabisa bila chenga! Mambo ni mengi mengi mno : Yameniandama! Lord have Mercy! Click to expand... Hakika penye uzito basi wepesi upo. Hakika giza totoro ndio ishara ya mapambazuko. Kuna wanayopitia zaidi yako hivyo sema unaweza mkuu.
Mundamushimu JF-Expert Member Joined Aug 23, 2017 Posts 757 Reaction score 434 Sep 12, 2023 #39 MzeeKipusa said: Dah huu mwaka sitoboi asee Yani naziona 6 feet hizi hapa live kabisa bila chenga! Mambo ni mengi mengi mno : Yameniandama! Lord have Mercy! Click to expand... Umeokoka?
MzeeKipusa said: Dah huu mwaka sitoboi asee Yani naziona 6 feet hizi hapa live kabisa bila chenga! Mambo ni mengi mengi mno : Yameniandama! Lord have Mercy! Click to expand... Umeokoka?
NYOLODO JF-Expert Member Joined Sep 27, 2020 Posts 11,362 Reaction score 25,906 Sep 12, 2023 #40 Na ukivuta MzeeKipusa tunapika biriyani ya ngamia 😅