Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,985
- 25,195
Asante baba leo ni siku nyingine,Nashukuru kwa pumzi na nguvu ulizonipa leo,naomba pia nifungulie na ridhiki yangu ili ata kile kidogo nitakachopata kinisaidie mimi pamoja na jamaa zangu.
Kuna ambao walitamani kuiona leo lakini kwa Neema zako wamerejea kwako wape pumziko la milele,
Kuna ambao Walitamani kuamka na Afya Njema lakini Maradhi ya mwili yamekuwa kisababishi wape uponyaji wako.
Mimi ni binadamu kuna muda nakosea naomba unisamehe nipe Rehema zako ili nilitangaze jina lako na kusema wewe ndio mkuu siku zote.
Vitu vyote vitapita lakini ukuu wako hautapita kamwe .
Nawatakia ijumaa njema yenye baraka.
Ameni.
Mungu ni mwema kila wakati.
Kuna ambao walitamani kuiona leo lakini kwa Neema zako wamerejea kwako wape pumziko la milele,
Kuna ambao Walitamani kuamka na Afya Njema lakini Maradhi ya mwili yamekuwa kisababishi wape uponyaji wako.
Mimi ni binadamu kuna muda nakosea naomba unisamehe nipe Rehema zako ili nilitangaze jina lako na kusema wewe ndio mkuu siku zote.
Vitu vyote vitapita lakini ukuu wako hautapita kamwe .
Nawatakia ijumaa njema yenye baraka.
Ameni.
Mungu ni mwema kila wakati.