Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 6,132
- 10,514
Unaumwa uchungu unaambiwa utazaa kesho, lakini siku inafika na uchungu unakatika. Unaambiwa ufanye mazoezi, bado kimya. Kesho kutwa unarudishwa nyumbani, ukifika uchungu unaanza tena. Unarudi hospitali unaambiwa njia zimefunga, unahitaji upasuaji wa haraka.
Unajifungua mwanao kwa mateso makubwa, kisha unamfanyia tahara na maulid, halafu mtoto anakuwa na tabia ya upinde kama huyu! Mungu ni mkubwa kweli!
Unajifungua mwanao kwa mateso makubwa, kisha unamfanyia tahara na maulid, halafu mtoto anakuwa na tabia ya upinde kama huyu! Mungu ni mkubwa kweli!