SINGLE RASHID
Member
- Nov 8, 2012
- 71
- 15
Hivi unawezaje kusema ```mungu amlaze marehemu peponi ameen wakati unajua kabisa marehemu alikuwa muuaji, marehemu alikuwa anakula TIGO, marehemu kadhurumu haki za mayatima na mengi mabaya..... Tuacheni kumfanya mungu mtoto