Mungu mtoto au mungu mzee...????

Mungu mtoto au mungu mzee...????

SINGLE RASHID

Member
Joined
Nov 8, 2012
Posts
71
Reaction score
15
Hivi unawezaje kusema ```mungu amlaze marehemu peponi ameen wakati unajua kabisa marehemu alikuwa muuaji, marehemu alikuwa anakula TIGO, marehemu kadhurumu haki za mayatima na mengi mabaya..... Tuacheni kumfanya mungu mtoto
 
mtu akifariki wanadamu huwa wanasahau na kuenzi mazuri aliyoyafanya wakati wa uhai wake mabaya tunamwachia mungu huwezi jua mtu unamjua kuwa anadhambi cku anakufa akasali na kutubu dhambi zake na kusamehewa dhambi zote
 
kwa taarifa toba ya siku ya mauti imekufika haipokelewi...hata hivyo m/mungu humnemeesha amtakaye na kutokumneemesha amtakaye, vilevile kwenye upande wa pepo na moto..yeye ndiye ajuaye siri zilizojificha kabisa.
 
Back
Top Bottom