Mungu kwanini umeleta baadhi ya watu waje wateseke?

Mungu kwanini umeleta baadhi ya watu waje wateseke?

Mwanga Lutila

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2016
Posts
4,291
Reaction score
14,786
Jana nilikuwa Hospital ya Rufaa ya Iringa nilishuhudia madkatari wakikimbizana Wodi ya watu mahututi "ICU" nikauliza kulikoni Wakasema Wale Mapacha walioungana (Maria na Consolata) hali zao zimebadilika.

Niliwaza mengi sana juu ya huyu Mungu kwanini kawaleta baadhi ya watu waje wateseke?
 
Dunia ni sehemu ya Mitihani, kila mtu ana Mitihani yake, ukifaulu mitihani iliyopo duniani malipo yake makubwa, mazuri na ya milele Siku ya mwisho, ukifeli adhabu ni kubwa pia.....Tujitahidi kufaulu mitihani yeyote inayotufika
 
Mkuu unazungumzia mateso ya aina gani any way tuseme ugojwa wao na maumbile yao..lakini mkuu kuna watu wanapata shida shida shida sana unaweza ukamwaga jozi hata kama ni mchawi unaye wanga kweupe..lakini yote kwa yote yote ni mateso tu..mungu awasaidie
 
Jana nilikuwa Hospital ya Rufaa ya Iringa nilishuhudia madkatari wakikimbizana Wodi ya watu mahututi "ICU" nikauliza kulikoni Wakasema Wale Mapacha walioungana (Maria na Consolata) hali zao zimebadilika.

Niliwaza mengi sana juu ya huyu Mungu kwanini kawaleta baadhi ya watu waje wateseke?
Cc @kiranga
Kila jambo lina makusudi yake yatupasa tushukuru kwa jambo lolote. Hakika mungu atawalinda na kuwasimamia anayo kila sababu maana yeye ndiye aliwaumba
Dah[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Cc Mshana Jr
 
Jana nilikuwa Hospital ya Rufaa ya Iringa nilishuhudia madkatari wakikimbizana Wodi ya watu mahututi "ICU" nikauliza kulikoni Wakasema Wale Mapacha walioungana (Maria na Consolata) hali zao zimebadilika.

Niliwaza mengi sana juu ya huyu Mungu kwanini kawaleta baadhi ya watu waje wateseke?
Ili utukufu wake utimilike,ila wengi wazazi wao wangetumia condom dunia ingekuwa mahali Salama kabisa.Wana PhD za roho mbaya utadhani wanakaanga sumu,tukila wali nyama kila siku wanaturoga.
 
Amewaleta wenye maradhi ili wenye afya njema wajitafakari,amewaleta wanyonge ili wenye nacho iwe ni changamoto kwao.

Binadamu ujue hujatimia mpaka siku yako ya mwisho.
 
Jana nilikuwa Hospital ya Rufaa ya Iringa nilishuhudia madkatari wakikimbizana Wodi ya watu mahututi "ICU" nikauliza kulikoni Wakasema Wale Mapacha walioungana (Maria na Consolata) hali zao zimebadilika.

Niliwaza mengi sana juu ya huyu Mungu kwanini kawaleta baadhi ya watu waje wateseke?
matendo ya Mungu si ya mwanadamu
 
Jana nilikuwa Hospital ya Rufaa ya Iringa nilishuhudia madkatari wakikimbizana Wodi ya watu mahututi "ICU" nikauliza kulikoni Wakasema Wale Mapacha walioungana (Maria na Consolata) hali zao zimebadilika.

Niliwaza mengi sana juu ya huyu Mungu kwanini kawaleta baadhi ya watu waje wateseke?

Ndio hivyo, Good things happen and bad things happen to good and bad people alike. Ndio Maisha yetu.
 
Amewaleta wenye maradhi ili wenye afya njema wajitafakari,amewaleta wanyonge ili wenye nacho iwe ni changamoto kwao.

Binadamu ujue hujatimia mpaka siku yako ya mwisho.
[emoji2]
Dah mkuu uliwaza nn mpak ukajiita mgeni wa mungu???
 
aisee sio Mungu ninayemfahamu huyu atakuwa mungu nisiyemfahamu
 
Hukuwa na unafiki, uzandiki, uoga, kujipendekeza wala uongo kwenye fikra zako.
Ila watu wenye makandokando kama hayo, walitoa maoni kwenye thread yako mkuu.

Lazima turuhusu nafsi zetu kuhoji yanayopaswa kuhojiwa kama nyakati na mazingira yanavyohitaji
 
Mungu kuna uwezekano sio muweza wa yote ila ana upendo wote. Pia inawezekana ni muweza wa yote ila hana upendo(an evil God) lakini sio both muweza wa yote na mwenye upendo wote.

Angekuwa hivyo asingeruhusu mambo kama hayo yatokee. Yaani umuumbe mtu aje kuteseka duniani mwanzo mwenga bila hatia yoyote afu unasema una mpenda ilihali ungeweza kumuumba kikamilifu aishi kwa furaha??




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom