juzi TRA hapa kitaa walimfungia mlango wa biashara mama mmoja ili akakate leseni..
Huyu mama anauzaga soda kreti mojamoja na vitunguu na nyanya kidogo, na viberiti..
Mama kakopa alipotimiza leo kaenda kuwapelekea hizo hela apewe leseni..
Walipomfungulia zile soda kwenye kreti ni vigae tu ndio vimebaki maana juzi hawakumpa nafasi ya kuzima kifriji..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.