Magoya2000
JF-Expert Member
- May 7, 2017
- 641
- 1,265
Naamini wote wazima wa Afya. Miezi miwili iliyopita nilipigiwa simu kwamba mdogo wangu analia sana yupo stress hata kula hawezi kisa Mwanamke kamuacha. Nikaona ni heri niende kuonana naye nikamshauri sana dogo nikamuambia maisha safari Mungu anakupenda hivyo usikate tamaa.
Akaniambia huku akilia Kwamba usiku huu mkewe anaolewa ndoa ya Kiislam. Nikaendelea kumtia moyo kwamba hilo sio chagua lako tulia upepo utapita utapata kwa kukufaa. Dogo akanisikiliza nikampiga gambe akapata usingizi siku ikaisha.
Next day akaendelea na mishe yake. Sikuamini kumbe alinisikiliza akaondoa mawazo yake kwa mkewe akafanya yake. Ikapita miezi miwili leo ananipigia simu anadai yule mume amefariki na wanamzika Leo. Nikamshauri achana nao kabisa Fanya yako. Mungu anajibu.
Haya Maisha usiangaike na binadamu ambaye hujazaliwa naye. Kama kazingua achana naye Mungu atakupa wa kukufaa. Nawashauri wadogo Maisha ni safari ndefu Sana.
Akaniambia huku akilia Kwamba usiku huu mkewe anaolewa ndoa ya Kiislam. Nikaendelea kumtia moyo kwamba hilo sio chagua lako tulia upepo utapita utapata kwa kukufaa. Dogo akanisikiliza nikampiga gambe akapata usingizi siku ikaisha.
Next day akaendelea na mishe yake. Sikuamini kumbe alinisikiliza akaondoa mawazo yake kwa mkewe akafanya yake. Ikapita miezi miwili leo ananipigia simu anadai yule mume amefariki na wanamzika Leo. Nikamshauri achana nao kabisa Fanya yako. Mungu anajibu.
Haya Maisha usiangaike na binadamu ambaye hujazaliwa naye. Kama kazingua achana naye Mungu atakupa wa kukufaa. Nawashauri wadogo Maisha ni safari ndefu Sana.



