Kama uzuri huo uliuona kwa macho yako na kuuchambua kwa utashi wako na siyo masimulizi uliyoppewa basi una sababu ya kufanya huo ulinganishi. Vinginevyo sifia ukionacho kwa mcho yako na siyo usimliwacho.Pamoja na uzuri wao wote hao lakini bado hakuna hata anayefikia theluthi tu ya uzuri kwa Cleopatra.
Samahani mkuu. Huyu nampataje? Nielekeze facebook au instagram anatumia jina gani. Niko tayari kukulipa kwa kazi hii.Naona unataka kuchomoa betriView attachment 1192232
Naona unataka kuchomoa betriView attachment 1192232
Alafu unakutana na kamongo anakwambia utazunguka bucha zote nyama ni ile ile kweli jamani![]()
Imaginena bado kuna mtu anamsaliti
Pamoja na uzuri wao wote hao lakini bado hakuna hata anayefikia theluthi tu ya uzuri kwa Cleopatra.
Lipa kwanza kuhulizia mengine yafuatweSamahani mkuu. Huyu nampataje? Nielekeze facebook au instagram anatumia jina gani. Niko tayari kukulipa kwa kazi hii.
Kwahiyo mkuu wewe unaona kinyaa hapo?Mwambie afanye mazoezi kwanza kupunguza hiyo mifuta kwenye mipaja, juu yuko poa ila kiuno kushuka chini ni kinyaa!


watu bhanaChaputa wakiona hivyo ni lazima waingie kaziniwekaga onyo kwenye kichwa cha habari wengine muda huu wako peke yao chumbani😉



