Mungu baba anajua haya?

Mungu baba anajua haya?

Shujaa Nduna

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2022
Posts
599
Reaction score
487
Kila nikitazama clip na live za manabii,kuhani,wachungaji najiuliza kweli wote wayatendayo haki ktk imani kweli?

Wengi wanahubiri mafanikio ktk biashara,kazi na kipato.Sioni wakihubiri zaidi ktk kuwajenga watu ktk imani na kumcha mwenyezi.

Wanahubiri matukio zaidi unakuta anasema shetani toka,nafunga anga la wachawi,hirizi,misukule nk kweli!!.

Mara wenye 50000,30000,20000,10000,5000 njoo madhabahuni,wafungu la kumi,wa shukrani.hapa kina kajambanani hakuna buku2 wala buku hakuna.

Kwakweli hali hii watashindwa kununuwa range rover,prado,nk majumba ya fahari?Waumini wao wanakuwa hoi lakini wao wananeemeka.

Mungu awalani kama wanawaibia watu,lakini kama wanamuhubiri yeye muumba wa mbingu na wabarikiwe.
 
Mnamchangia pastor ananunua gari, alafu anawaombea kwa Mungu awape magari.

Kwanini tusimuombee na yeye Mungu ampe?

Kipindi tunapata kipaimara kkkt mwanafunzi aliyekuwa anapewa zawadi ni yule atakayefaulu mtihani wa biblia ila siku hizi wanatoa zawadi kwa atakayetoa sadaka nyingi.
 
Mnamchangia pastor ananunua gari, alafu anawaombea kwa Mungu awape magari.

Kwanini tusimuombee na yeye Mungu ampe?

Kipindi tunapata kipaimara kkkt mwanafunzi aliyekuwa anapewa zawadi ni yule atakayefaulu mtihani wa biblia ila siku hizi wanatoa zawadi kwa atakayetoa sadaka nyingi.
Yah mwenye dau anathaminiwa.
 
Mnamchangia pastor ananunua gari, alafu anawaombea kwa Mungu awape magari.

Kwanini tusimuombee na yeye Mungu ampe?

Kipindi tunapata kipaimara kkkt mwanafunzi aliyekuwa anapewa zawadi ni yule atakayefaulu mtihani wa biblia ila siku hizi wanatoa zawadi kwa atakayetoa sadaka nyingi.
Kumbe mmehama na kipaimara
 
Tangu nije bongo daslam nakujionea wizi nilishaapa siji kwenda church labda kama nafukuzia pisi
 
Back
Top Bottom