Mungu anatupenda wote kuliko kitu chochote lakini mwisho wa Siku atatuchoma moto baadhi

The Evil Genius

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
5,469
17,309
Dini inasema Mungu ni pendo, mungu ni upendo, mungu anatupenda watu wote, Mungu anampenda kila mtu na kwa upendo usio na kifani.

Dini inasema mungu ni yule yule asiebadilika, jana, leo na hata milele. Sasa twende na kauli ya Mungu ni pendo, kwa maana kwamba mungu hatakuja kubadilika, ni pendo milele na milele.

Dini inaenda mbali zaidi inasema Mungu atakuja kuwachoma moto watu na atawashushia hasira na ghadhabu zake zote( kwa maana kwamba Mungu atabadilika na kua katili sana). Kwa msingi huo sina ya kwamba Mungu ni yule yule asiebadilika ni ya uongo.

Dini inasema jehanamu iliandaliwa kabla ya kuumbwa misingi ya ulimwengu, kwa maana kwamba kabla binadamu hajaumbwa mungu alishaumba jehanamu ya kuwachomea moto hivyo ule moto kule jehanamu uko kabla ya binadamu. Na Mungu alishajua watu gani atawachoma moto, hata ufanyeje utachomwa tu moto.

Swali la kujiuliza, Mungu anaetupenda kama watoto wake, atakujaje tena atuchome moto? Hata binadamu hawezi kumchoma moto mtoto wake asiemoenda, sembuse anayempenda?
 
Haahaha umempenda demu umehengaika nae ila tu bado kakaza fuvu why not usimove on?
Mungu ni waupendo ndio ila kwa wampendao ila haimaanishi kuwa hakasiriki na kuadhibu kwani hatuwapendi watoto wetu mbona tunawaadhibu wakikosea tatizo ni moja Mungu haeleweki utatafuta kila njia ila bado hutamuelewa ndio maana nasemaga ya Mungu ya Mungu ya Mwanadamu ya Mwanadamu hapo kwenye kujua atakao wachoma moto mimi ndio kunanisumbua maana hata wale watakao kwenda mbinguni imeandikwa ni wateule wa MUngu, kwaiyo kuna nambao hawajateuliwa na Mungu au vipi?

anyway ngoja tuone nafarijika tu kwasababu tunaishi milele hata hapo nashukuru Mungu maana kupotea kama moshi ingekuwasooo
 
Mwenyezi Mungu ni mtakatifu na kiti chake cha enzi ni kitakatifu na wale wanaosimama mbele yake ni watakatifu. Wewe the @ EvilGenius leo hii umekufa katika dhambi na haujatubu either umemuua ndugu yako,umetembea na mke wa mtu,umefitini watu,kunyanyasa nk unategemea ukifa nawe utajumuika na watakatifu wake kusimama mbele zake?
 
Dini inasema Mungu ni pendo, mungu ni upendo, mungu anatupenda watu wote, mungu anampenda kila mtu na kwa upendo usio na kifani.

Dini inasema mungu ni yule yule asiebadilika, jana, leo na hata milele. Sasa twende na kauli ya mungu ni pendo, kwa maana kwamba mungu hatakuja kubadilika, ni pendo milele na milele.

Dini inaenda mbali zaidi inasema Mungu atakuja kuwachoma moto watu na atawashushia hasira na ghadhabu zake zote( kwa maana kwamba Mungu atabadilika na kua katili sana). Kwa msingi huo sina ya kwamba mungu ni yule yule asiebadilika ni ya uongo.

Dini inasema jehanamu iliandaliwa kabla ya kuumbwa misingi ya ulimwengu, kwa maana kwamba kabla binadamu hajaumbwa mungu alishaumba jehanamu ya kuwachomea moto hivyo ule moto kule jehanamu uko kabla ya binadamu. Na mungu alishajua watu gani atawachoma moto, hata ufanyeje utachomwa tu moto.

Swali la kujiuliza, Mungu anaetupenda kama watoto wake, atakujaje tena atuchome moto? Hata binadamu hawezi kumchoma moto mtoto wake asiemoenda, sembuse anayempenda?
Kumbe kuna watu bado wanaamin hiyo stori,
 
Hua nashangaa sana wasio amini ndo huwa wako obsessed sana na moto/kuchomwa kama unaamini hivyo vitu haviko kwanini ujipe tabu kuhoji nakuuliza uliza?
 
Dini inasema Mungu ni pendo, mungu ni upendo, mungu anatupenda watu wote, Mungu anampenda kila mtu na kwa upendo usio na kifani.

Dini inasema mungu ni yule yule asiebadilika, jana, leo na hata milele. Sasa twende na kauli ya Mungu ni pendo, kwa maana kwamba mungu hatakuja kubadilika, ni pendo milele na milele.

Dini inaenda mbali zaidi inasema Mungu atakuja kuwachoma moto watu na atawashushia hasira na ghadhabu zake zote( kwa maana kwamba Mungu atabadilika na kua katili sana). Kwa msingi huo sina ya kwamba Mungu ni yule yule asiebadilika ni ya uongo.

Dini inasema jehanamu iliandaliwa kabla ya kuumbwa misingi ya ulimwengu, kwa maana kwamba kabla binadamu hajaumbwa mungu alishaumba jehanamu ya kuwachomea moto hivyo ule moto kule jehanamu uko kabla ya binadamu. Na Mungu alishajua watu gani atawachoma moto, hata ufanyeje utachomwa tu moto.

Swali la kujiuliza, Mungu anaetupenda kama watoto wake, atakujaje tena atuchome moto? Hata binadamu hawezi kumchoma moto mtoto wake asiemoenda, sembuse anayempenda?
tenda wema na uende zako 🐒
 
Dini inasema Mungu ni pendo, mungu ni upendo, mungu anatupenda watu wote, Mungu anampenda kila mtu na kwa upendo usio na kifani.

Dini inasema mungu ni yule yule asiebadilika, jana, leo na hata milele. Sasa twende na kauli ya Mungu ni pendo, kwa maana kwamba mungu hatakuja kubadilika, ni pendo milele na milele.

Dini inaenda mbali zaidi inasema Mungu atakuja kuwachoma moto watu na atawashushia hasira na ghadhabu zake zote( kwa maana kwamba Mungu atabadilika na kua katili sana). Kwa msingi huo sina ya kwamba Mungu ni yule yule asiebadilika ni ya uongo.

Dini inasema jehanamu iliandaliwa kabla ya kuumbwa misingi ya ulimwengu, kwa maana kwamba kabla binadamu hajaumbwa mungu alishaumba jehanamu ya kuwachomea moto hivyo ule moto kule jehanamu uko kabla ya binadamu. Na Mungu alishajua watu gani atawachoma moto, hata ufanyeje utachomwa tu moto.

Swali la kujiuliza, Mungu anaetupenda kama watoto wake, atakujaje tena atuchome moto? Hata binadamu hawezi kumchoma moto mtoto wake asiemoenda, sembuse anayempenda?
Binadamu waovu ndio watakao chomwa moto na Mungu

Hata serikali yoyote hapa Duniani inawapenda raia wake wote ila unafika mda raia wengine watupwa gerezani

Kama Mungu asingeaidi moto Kwa binadamu wanao tenda maovu sahizi Dunia mzima watu wangekuwa mashoga
 
Lazima tuhoji huo ujinga mnaotuhubiria.
Nilidhani umeuliza ili upate kujifunza (kujua kile kinachokutatiza kimaandiko). Kumbe umeuliza ili ukosoe na kupotosha. Labda kuhusu moto tu pia UMEPOTOSHA. Bible inasema inamtaja aliyeandaliwa moto. MATHAYO 25:41 "..ondokeni kwangu, mliolaaniwa, mwende katika moto wa milele, ALIOWEKEWA TAYARI IBILISI NA MALAIKA ZAKE;" Kumbe moto hakuwekewa mwanadamu. Ila ukiasi sheria ya Mungu kama ibilisi alivyoasi nawe unaunganishwa na ibilisi aliyekudanganya. Now, from today turn away from your evil deeds, trust in Jesus and he will accept you and forgive all of your sins.
 
Mambo ya Mungu ni magumu brother.kila kitu kina pande mbili.mwanga na giza.mchana na usiku,kuna mbele na nyuma,kuna juu na chini.kuna magharibi na mashariki.kuna kaskazin na kusin.. nataka nikwambie kuwa Kusudi la Mungu kwa mwanadam ni upendo.bahati mbaya upendo ulialibiwa mwanzo kabisa wakati wa uumbaji.yaan wakati wa nuru giza nalo likatawa.na ukitaka kujua haya kila mtu ana siri yake.kitendo cha kuwa na siri ndio giza hilo.kuishi kupo na kufa kupo.lakin siri ya kufa anaijui Mungu pekee mengine ya moto achana nayo
 
Dini inasema Mungu ni pendo, mungu ni upendo, mungu anatupenda watu wote, Mungu anampenda kila mtu na kwa upendo usio na kifani.

Dini inasema mungu ni yule yule asiebadilika, jana, leo na hata milele. Sasa twende na kauli ya Mungu ni pendo, kwa maana kwamba mungu hatakuja kubadilika, ni pendo milele na milele.

Dini inaenda mbali zaidi inasema Mungu atakuja kuwachoma moto watu na atawashushia hasira na ghadhabu zake zote( kwa maana kwamba Mungu atabadilika na kua katili sana). Kwa msingi huo sina ya kwamba Mungu ni yule yule asiebadilika ni ya uongo.

Dini inasema jehanamu iliandaliwa kabla ya kuumbwa misingi ya ulimwengu, kwa maana kwamba kabla binadamu hajaumbwa mungu alishaumba jehanamu ya kuwachomea moto hivyo ule moto kule jehanamu uko kabla ya binadamu. Na Mungu alishajua watu gani atawachoma moto, hata ufanyeje utachomwa tu moto.

Swali la kujiuliza, Mungu anaetupenda kama watoto wake, atakujaje tena atuchome moto? Hata binadamu hawezi kumchoma moto mtoto wake asiemoenda, sembuse anayempenda?
Dini zimekuwa sehemu ya kufundisha watu uongo wenye kiwango cha lami,

Dini ni biashara, mtaji wake ujinga

"Dini zimekuwa zikifundisha upuuzi mmoja mkubwa sana eti kifo sio mwisho wa maisha."
 
Back
Top Bottom