Mungu ameisha fungua milango ya ajira

Mungu ameisha fungua milango ya ajira

Mwakih

Senior Member
Joined
May 16, 2011
Posts
168
Reaction score
54
Nilikua kimya ila Mungu ameisha fanya njia pasipo na njia. Ajira imeisha patika tena ktk fild yangu niliyosomea. Mungu anajibu kwa wakati wake pia jinsi nilivyoipata bila shaka ni Mungu mwenyewe kanipa hii kazi.

Kama kunawatu tulifunga 21 days afu hawajapata kazi tujulisha Mungu yupo tutamuuliza tatizo nini. Kunawatu walisema hampati lakini walisahau kua tunamuomba Myngu na kua wao ni wanadamu . bac bwana wa majesh kaisha jibu sifa na utukufu vimwendee yeye.
 
Ishi kama apendavyo bwana pia usisahau fungu la kumi
 
Amina, ombi langu kwa Mungu na wewe ambae bado haja ya moyo wako haijajibiwa ukumbukwe na Baba usikate tamaa keep on prayin and prayin and prayin.........
 
God's time is the best! Amekupa muda alioona unafaa. Sifa na utukufu vimwendee yeye.
 
Usimuache Mungu wako sasa
usisahau ulipotoka,hasa wazaz wako.usiache ibada,maana binadamu tunatabia ya kujisahau tutembeapo kwenye raha
 
Ujue dini hizi, lazima tuzichambue kwa makini, vinginevyo waweza onekana juha.
Sasa hapa unagombana na nani aliyekusimanga?
 
Ujue dini hizi, lazima tuzichambue kwa makini, vinginevyo waweza onekana juha.
Sasa hapa unagombana na nani aliyekusimanga?

Hakuna ninaye gombana nae ila tu nashuhudia matendo makuu aliyonifanyia bwana
 
Usisahau kuwatambikia mababu, manake makazini humu kuna shida sana
 
Nilikua kimya ila Mungu ameisha fanya njia pasipo na njia. Ajira imeisha patika tena ktk fild yangu niliyosomea. Mungu anajibu kwa wakati wake pia jinsi nilivyoipata bila shaka ni Mungu mwenyewe kanipa hii kazi.

Kama kunawatu tulifunga 21 days afu hawajapata kazi tujulisha Mungu yupo tutamuuliza tatizo nini. Kunawatu walisema hampati lakini walisahau kua tunamuomba Myngu na kua wao ni wanadamu . bac bwana wa majesh kaisha jibu sifa na utukufu vimwendee yeye.

Ndo wewe tulikua wote jana pale nanilii tunafanya intavyuu? Hongera ndugu.
 
Back
Top Bottom