Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,697
- 9,048
Viatu vimemvaa badala ya kuvivaa....lakini kwa ubishi tu Polepole anakomaa ...!!!Sura kakima.
Viatu vimemvaa badala ya kuvivaa....lakini kwa ubishi tu Polepole anakomaa ...!!!Sura kakima.
Wanyonge wenye haki wanawafuasi kuliko wenyenguvu wasio wa haki. Ndio maana udikteta upo leo na hauko kesho. ( mfano:Idd Amin, Mobotu, Bokassa..)Mkuu tindo hawa watu kwa sasa wameishiwa maarifa. Hawajui mlango wa kuingia wala wa kutokea. Hawakuamini macho yao kwa Chadema bado kina wafuasi lukuki pamoja na mateso yote kwa miaka minne. Mungu ibariki Chadema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukatili wamakaburu Natal Afrika Kusini na Uhuni wa Segerea ni ligi moja. Sioni tofauti.View attachment 1394896
Wanyonge wakichoka hugeuka waasiMkuu inaonyesha walipo ccm chdm wanapatamani kwa nia ileile ya ccm (wanatumia dola /ipo siku chdm watakamata dola nadhani watakamata waitumie kwa lolote
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu uzi umekuzidi kimo kaa kimyasalio la mchango limebaki Tshs ngapi? Tuanze hapo kwanza,MUNGU anapenda ukweli
Wazazi wako unashindwa kuwapa ruzuku,utaichangia CDM!!!!nilichangia buku mkuu
nilichangia buku mkuu
hata ww naweza kukuchangia
njoo uchukue ghetto uvae khanga tuUshahidi wa hii kauli !?
njoo uchukue ghetto uvae khanga tu
ni sawa ulivyolalamika nimekuelewa,nami nilijaribu kukuumiza kidogo kwa sababu umejaribu kunifufulia wazazi.Jifunze kujadiliana kwa Lugha za Staha Mkuu ,huu ni Mjadala Huru na kwa Watu wastaarabu na sio kama ulivyo fanya hapa.
Rudieni tena, ndiyo maana mnashindwa kudumu kwenye ndoa. Ndiyo maana mlipelekwa JKT kujifunza nidhamu na matumizi ya nidhamu kila Mahala unapokuwa."Tulipofika Gereza la Segerea hatukuruhusiwa kuingia ndani, Askari Magereza walitufukuza kwa maneno ya matusi, kashfa na kutuambia kuwa 'walikuwa wametupania sana hasa mimi na Halima Mdee, kwamba tuliwahi kuondoka na walipanga kututesa sana'"
Uwanja huu ulichafuka siku Mh.Mbowe anatoka jela na kuwa uwanja wa maangamizi ya akina Mh.Mdee,Mh.Bulaya na wenzao.Naomba nianze kwa kusema maneno haya ninayoyaamini mimi kama mimi:
"CHADEMA kwa watanzania ni mpango wa Mungu kama alivyokuwa Mussa kwa wana wa Israel".
Nimeanza na maneno hayo kuwatahadharisha wale wote wanaofikiri wanapambana na CHADEMA kumbe wanapambana na nguvu za Mungu anaeitumia CHADEMA kuwakomboa watanzania kutoka katika tawala za CCM.
Ukweli huu ni sababu kwanini hata ile kauli ya JK kuwa vyama vya upinzani(akiilenga CHADEMA) kuwa ni vyama vya msimu ilikuifa kifo cha Mende na hata huyu wa sasa anaetuhumiwa kutaka kuua upinzani na ususa CHADEMA, atafeli na huenda akaja kujikuta anawakabidhi ofisi.
Na kwa msingi huo huo wa CHADEMA kuwa ni mpango wa Mungu, ndio maana Mungu aliruhusu Polepole aingie pale Segerea na msafara wake kwani alijuia ni nini kingetokea baada ya pale ili Dunia ione doublestandard ya vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama.
Si hivyo tu,hata mtu kutamka kuwa tunatumia dola kubaki madarakani ni mpango wa Mungu kuwaumbua hawa watu na ndio maana kauli ile kwa sasa ni kama inatekelezwa kwa vitendo(Mungu kawanyima maarifa ili waumbuke na hatimae waanguke).
Mnaofikiri CHADEMA itakufa kwa kuhujumiwa kwa miaka karibu mitano sasa,mjue mtaishia kuumbuka hasa pale mtapokuja kushuhudia CHADEMA inakamata dola na Mungu atawaweka hai ili mje mshuhudie jambo hili likitimia.
Narudia,CHADEMA ni chama teule na ndio maana hakiyumbi,hakifi na zaid ndio maana wale wotei wanaotaka kukihujumu wao ndio kila siku wanaumbuka kwa kauli na matendo yao wenyewe.
Haya mnayoshuhudia leo Mungu kayuruhusu akiwa na makusudi yake na hawa kina Lissu,Mbowe,Mdee,Heche,Msigwa na wengineo wameteuliwa tu kutumika kukamilisha mipango ya Mungu ambayo sisi binadamu hatuwezi kuitambua kwa sasa.
View attachment 1389675
View attachment 1389676
View attachment 1389677
View attachment 1389684