Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Naomba nianze kwa kusema maneno haya ninayoyaamini mimi kama mimi:
"CHADEMA kwa watanzania ni mpango wa Mungu kama alivyokuwa Mussa kwa wana wa Israel".
Nimeanza na maneno hayo kuwatahadharisha wale wote wanaofikiri wanapambana na CHADEMA kumbe wanapambana na nguvu za Mungu anaeitumia CHADEMA kuwakomboa watanzania kutoka katika tawala za CCM.
Ukweli huu ni sababu kwanini hata ile kauli ya JK kuwa vyama vya upinzani(akiilenga CHADEMA) kuwa ni vyama vya msimu ilikuifa kifo cha Mende na hata huyu wa sasa anaetuhumiwa kutaka kuua upinzani na ususa CHADEMA, atafeli na huenda akaja kujikuta anawakabidhi ofisi.
Na kwa msingi huo huo wa CHADEMA kuwa ni mpango wa Mungu, ndio maana Mungu aliruhusu Polepole aingie pale Segerea na msafara wake kwani alijuia ni nini kingetokea baada ya pale ili Dunia ione doublestandard ya vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama.
Si hivyo tu,hata mtu kutamka kuwa tunatumia dola kubaki madarakani ni mpango wa Mungu kuwaumbua hawa watu na ndio maana kauli ile kwa sasa ni kama inatekelezwa kwa vitendo(Mungu kawanyima maarifa ili waumbuke na hatimae waanguke).
Mnaofikiri CHADEMA itakufa kwa kuhujumiwa kwa miaka karibu mitano sasa,mjue mtaishia kuumbuka hasa pale mtapokuja kushuhudia CHADEMA inakamata dola na Mungu atawaweka hai ili mje mshuhudie jambo hili likitimia.
Narudia,CHADEMA ni chama teule na ndio maana hakiyumbi,hakifi na zaid ndio maana wale wotei wanaotaka kukihujumu wao ndio kila siku wanaumbuka kwa kauli na matendo yao wenyewe.
Haya mnayoshuhudia leo Mungu kayuruhusu akiwa na makusudi yake na hawa kina Lissu,Mbowe,Mdee,Heche,Msigwa na wengineo wameteuliwa tu kutumika kukamilisha mipango ya Mungu ambayo sisi binadamu hatuwezi kuitambua kwa sasa.
"CHADEMA kwa watanzania ni mpango wa Mungu kama alivyokuwa Mussa kwa wana wa Israel".
Nimeanza na maneno hayo kuwatahadharisha wale wote wanaofikiri wanapambana na CHADEMA kumbe wanapambana na nguvu za Mungu anaeitumia CHADEMA kuwakomboa watanzania kutoka katika tawala za CCM.
Ukweli huu ni sababu kwanini hata ile kauli ya JK kuwa vyama vya upinzani(akiilenga CHADEMA) kuwa ni vyama vya msimu ilikuifa kifo cha Mende na hata huyu wa sasa anaetuhumiwa kutaka kuua upinzani na ususa CHADEMA, atafeli na huenda akaja kujikuta anawakabidhi ofisi.
Na kwa msingi huo huo wa CHADEMA kuwa ni mpango wa Mungu, ndio maana Mungu aliruhusu Polepole aingie pale Segerea na msafara wake kwani alijuia ni nini kingetokea baada ya pale ili Dunia ione doublestandard ya vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama.
Si hivyo tu,hata mtu kutamka kuwa tunatumia dola kubaki madarakani ni mpango wa Mungu kuwaumbua hawa watu na ndio maana kauli ile kwa sasa ni kama inatekelezwa kwa vitendo(Mungu kawanyima maarifa ili waumbuke na hatimae waanguke).
Mnaofikiri CHADEMA itakufa kwa kuhujumiwa kwa miaka karibu mitano sasa,mjue mtaishia kuumbuka hasa pale mtapokuja kushuhudia CHADEMA inakamata dola na Mungu atawaweka hai ili mje mshuhudie jambo hili likitimia.
Narudia,CHADEMA ni chama teule na ndio maana hakiyumbi,hakifi na zaid ndio maana wale wotei wanaotaka kukihujumu wao ndio kila siku wanaumbuka kwa kauli na matendo yao wenyewe.
Haya mnayoshuhudia leo Mungu kayuruhusu akiwa na makusudi yake na hawa kina Lissu,Mbowe,Mdee,Heche,Msigwa na wengineo wameteuliwa tu kutumika kukamilisha mipango ya Mungu ambayo sisi binadamu hatuwezi kuitambua kwa sasa.