omurwanga
JF-Expert Member
- Dec 9, 2014
- 509
- 186
Maskiniii, acha nibaki namuonea huruma tu.
Naimi nionee huruma basi!
Maskiniii, acha nibaki namuonea huruma tu.
Mlevi kawaida yake ni kulala fofofo. Mwambie amvizie siku akilala fofofo avunje yai au anunue ....-15, kisha ampake kunakotokea kinyesi, alowanishe na suruali pande za nyuma, asubuhi awe wakwanza kuamka na kumshtua mumewe, kisha amuonyeshe hayo makitu na kujiliza kwamba mumewe kaingiliwa kunduleni mwake.
Baada ya siku chache akae naye chini, kwa upole na mahaba amsihi aache pombe, huku akikumbushia kisa cha jamaa kuingiliwa. Akiendelea na pombe ujue huyo mume si rizki.
Anakunywa matapu tapu?
ulevi unarudisha sana maendeleo nyuma........
kuna dawa za kienyeji wanasema unamwekea kwenye pombe anaacha mwenyewe.........
Kutoka moyoni huu ushauri umenivutia sana!
Akuna chenye mwanzoo kikakosa mwisho. Akazane kumuombea kwa Mungu kwa dhati ataacha wengi mbona wameacha pia azidshe upendo na mapenz kwa mumewe a ahakikishe kutwa mume ni msafi wa kinywa,mwili na mavazi asisahau sokx,
boxa na viatu naavyo vinahitajika usafi wa juu zaid. Iko siku na saa yaja ataacha na wala asiondoke angangani kulea wanawe na ndoa yake. angekuwa malaya na michepuko kibaao angesemaje na watu tunapambana mpk kinaelewekaa...
babiii, Mkuu ipo misaada ya aina nyingi !!
1. Mazingira ya mkewe na ya nyumbani ni lazima yabadilike pawepo na peacefull of mind,utulivu na watoto kuwa maridadi !!
2. Maombi Full course, Chakula kizuri chenye harufu ya kuvuti.!!
3. Wawepo watu wakaribu na wakiwemo marafiki wa kazini (anaofanya nao kazi) kumsihii na kumpatia ushauri mwema !!
4. Mkewe amuonyeshe mawazo,michongo ya ujasirimali na kubuni biashara za kuongeza kipato kwa familia !!
Hayo tu, ataweza kugeuza mwelekeo na kujierudi.
Mlevi kawaida yake ni kulala fofofo. Mwambie amvizie siku akilala fofofo avunje yai au anunue ....-15, kisha ampake kunakotokea kinyesi, alowanishe na suruali pande za nyuma, asubuhi awe wakwanza kuamka na kumshtua mumewe, kisha amuonyeshe hayo makitu na kujiliza kwamba mumewe kaingiliwa kunduleni mwake.
Baada ya siku chache akae naye chini, kwa upole na mahaba amsihi aache pombe, huku akikumbushia kisa cha jamaa kuingiliwa. Akiendelea na pombe ujue huyo mume si rizki.